Wanaume, huwa mnaharakia nini?

Wanaume, huwa mnaharakia nini?

Shida watu wengi huwa hawaongeleshani wanapokuwa wanafanya mapenzi!! Ukitaka mapenzi yanoge, ongeeni.kama mwanaume unaona unataka kufika, muulize mwenzako, nimalize?? Atakwambia usubiri au umalize!! Na huwa inapendeza sana kumuona mwanamke anapohangaika kufikia kilele chake!!mm huwa nafurahi sana yeye aanze!!
Nimekukumbuka we ndio mwenye tatizo la Nzio na coca cola!
Hapo sasa! Nakubaliiii
 
No reforms, no election.

Moja kwa moja kwenye mada, hivi nyie wanaume huwa mna shida gani?

Wakati wa mizagamuano hamtaki kabisa kutumia muda kutuandaa, mnara ukisoma 5G nyie mnataka kuzama tu, shida ni nini?

Mna haraka ya nini?, ndege kashakuwa wako manati ya nini eti?

Wanaume wenye hii tabia mbadilike mnatutoa kwenye mood🥲
Kama ni ndege wangu, nakula njtakavyo...tusipangiane namna ya kula ndege wangu
 
Hakuna kitu kigumu kama kukaa na mwanamke wa kiafrika hata dakika 10 ukapata amani ya moyo, Unachoweza kufanya mkikutana ni kumaliza shida za mwili tu.
Yani nikuandae nipate nini? Wanawake wengi hamvutii kwahiyo kukaa na wewe muda mrefu ni kujiongezea msongo wa mawazo, kwakuwa utaanza kunitajia bili alizotakiwa julipia baba yako unanihamishia mimi, vua nguo niweke kila mtu asepe.
 
No reforms, no election.

Moja kwa moja kwenye mada, hivi nyie wanaume huwa mna shida gani?

Wakati wa mizagamuano hamtaki kabisa kutumia muda kutuandaa, mnara ukisoma 5G nyie mnataka kuzama tu, shida ni nini?

Mna haraka ya nini?, ndege kashakuwa wako manati ya nini eti?

Wanaume wenye hii tabia mbadilike mnatutoa kwenye mood🥲
Wazungu hawakawii kukimbia hadi nje ya uwanja
 
No reforms, no election.

Moja kwa moja kwenye mada, hivi nyie wanaume huwa mna shida gani?

Wakati wa mizagamuano hamtaki kabisa kutumia muda kutuandaa, mnara ukisoma 5G nyie mnataka kuzama tu, shida ni nini?

Mna haraka ya nini?, ndege kashakuwa wako manati ya nini eti?

Wanaume wenye hii tabia mbadilike mnatutoa kwenye mood🥲
Inategemea ntu na ntu
 
Kama ungetoa ushirikiano mzuri wakati wa kuomba gemu then hata wakati wa gemu ungepata sapoti ya kutosha.

Ila shida wakati wa kuomba gemu mnakuwa na ufala mwingi,mnatoza ushuru mkubwa,mixer Vat, na hela ya kutolea.

Halafu baada ya haya yote mnataka wanaume akupambanie na kitandani upate raha,wewe ni mtu mbinafsi kiasi gani hadi utake kila kitu ufanyiwe wewe uwe mpokeaji tu.

Kila mtu ajipambanie bana. Jipimie size yako.
 
Back
Top Bottom