Recent content by iFreak_os

  1. iFreak_os

    How to bypass icloud activation?

    Kuna mtu aliomba assistance ya ku restore nimefanya nimekuta hapo nikashindwa... Kama ni kopo kama mnavosema basi acha akakae nalo mwenyewe.
  2. iFreak_os

    How to bypass icloud activation?

    Na hii ndiyo sababu sitohama apple najua itakuwa yangu tu hata kama ichukuliwe
  3. iFreak_os

    How to bypass icloud activation?

    Ha ha ha sijaiba mwana...
  4. iFreak_os

    Wabobezi nisaidieni nachanganywa na sentensi hii

    Nashukuru kama nimeweza kukusaidia
  5. iFreak_os

    Wabobezi nisaidieni nachanganywa na sentensi hii

    Mara nyingi kama hicho kitu kinahesabika(countable noun) ukitumia cha lazime umalizie che. Chandarua chenye dawa. Ila vitu kama chumvi ambavyo havihesabiki(uncountable noun) lazima utumie ye.. Chumvi yenye rangi nyeupe...
  6. iFreak_os

    How to bypass icloud activation?

    Habari wataalamu.. Nina swala moja muhimu chini ya meza... Kuna simu inaitwa iPhone ukitaka ku 'update' software unaweza ukatumia wi-fi kupitia simu au ukatumia iTunes. Swali langu ni ile simu ambayo imekuwa iCloud locked uki update kwa kutumia iTunes pale muda wa ku activate inagoma...
  7. iFreak_os

    Studio ya Music.

    Recording Studio Equipment List: The Essential 29 Items
  8. iFreak_os

    BLACK ACTORS; WHO'S YOUR FAVOURITE ONE..???

    Denzel Washington Samuel Jackson Kevin Hart Will Smith
  9. iFreak_os

    Studio ya Music.

    Sawa mkuu.. Mimi kwa vifaa nafahamu ila bei nimeshindwa kwa hapo
  10. iFreak_os

    Msaada: Black screen baada ya window upgrade

    Ni kweli walichosema wadau... Ambacho nilieleza mwanzo lakini wao wameeleza vizuri... Windows 10 ni incompatible na PC yako... Likiwa swala la drivers unaweza update online ila ni kama 'hardware' zenyewe zimekataa rudi Windows 7....
  11. iFreak_os

    Msaada: Black screen baada ya window upgrade

    Kama ume update kutokana na Windows waliyokupa Notification Microsoft wenyewe bado ni genuine... Inaweza PC ikawa inakosa kitu kimoja au viwili kwenye 'minimum requirement' ya kuweka Windows 10. Kuokoa jahazi tafuta tu boot loader ya windows 7 urudi ulipotoka uwe salama halafu ndo utaangalia...
  12. iFreak_os

    Mahusiano yanapaswa kuchukua muda gani hadi kufikia ndoa?

    Muda haujalishi sana bali effort mnayotumia kujuana. Miezi 6 inatosha hata chini ya hapo kama mlipata muda wa kujuana zaidi na kuelewana.
  13. iFreak_os

    Nimsaidiaje Mpenzi wangu

    Punguza mauraro mkuu saa nyingine unamuomba mara nyingi mpaka anakwazika... Mpaka ma phone sex... Kaa ongea nae mara nyingine pia labda kuna kitu kinambugudhi akilini inakuwa vigumu kuwaza hayo mambo.. Mjali kwanza yeye na yeye atajali haja zako..
  14. iFreak_os

    Series (Special thread)

    1. The Magician 2. Mr Robot 3. The Flash 4. The Originals 5. Vampire Diaries
  15. iFreak_os

    mchumba wangu ataongeza mke wa pili

    Do not let your destinity ruin your dignity hata kama unampenda lakini jua kuwa wake wenza si kazi rahisi hasa katika nyumba moja
Back
Top Bottom