blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 13,416
- 16,789
Si kweli maneno yako blogger! Ni haki gani ambayo mwanamke wa kiislam ananyimwa katika ndoa yake..?? Hebu toa mifano japo miwili kuitetea kauli yako..
mwanaume wa ki islam ana haki ya kua na wake wa 4..... ilhali mwanamke haruhusiwi. Hilo tu latosha tetea hoja yangu.
nyinyi mnafikiri kwamba mwanamke hana wivu si ndio.......??????