Recent content by Idd Omary

  1. Idd Omary

    GE2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

    yaani wewe unafurahia ujinga aisee, yaani mtu anakunyima mawasiliano hata na ndugu zako wewe unafurahi, mpaka email zimefungiwa, wengine tunapokea kazi kupitia email, so pathetic
  2. Idd Omary

    GE2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

    sio vodacom tuu, mitandao yote, mimi natumia halotel twitter na instagram haifanyi kazi
  3. Idd Omary

    Mwalimu wa hesabu natafuta kazi

    Yametoka lini haya?
  4. Idd Omary

    Matokeo form 6: Mikoa ya Kusini yaigalaza chali,iliyoitwa ya wasomi

    Kweli wewe ni kiazi cha kusini. Kwa hali hii huko kusini wajinga wataendelea kujaa. Unalinganisha wanafunzi 7,000+ kutoka shule 60+ na wanafunzi 953 kutoka shule 9?? Hujui kwamba advance ni wanafunzi kutoka maeneo mengi ya nchi? Hujui shule za advance zilizopo remote areas huwa zinafanya...
  5. Idd Omary

    Tunalaani uwanja Chato, nchi hii upendeleo ulianza zamani Wachaga mkiongoza

    Daah, tumeishiwa vya kujadili, tunajadili vitu vya kijinga. We have a long way to go, mimi ni mchagga, wachaga wanajua kubebana, wanasaidiana kwenye shida na raha. Tatizo la baadhi ya makabila huwa hawasaidiani, wanaoneana wivu, hilo nalo ni tatizo. Suala la Kilimanjaro kuendelea sio kwa sababu...
  6. Idd Omary

    TCRA: Kati ya Watoa Huduma Mtandaoni 86 walioomba usajili, ni mmoja tu aliyekidhi vigezo

    Hawatuwezi...tunaanzisha nje ya nchi.....na washaanza kufanya hivyo.....maana wanatuforce to the margin na sisi kuonyesha kuwa the margin is not the limit.....we stretch beyond the limit..
  7. Idd Omary

    Msaada: Kuna mtu huniibia hela na kunichomekea noti bandia nyumbani

    Pengine hizo noti anazo nyingi...tafuta siku umpekue nyumba nzima akiwa hayupo
  8. Idd Omary

    Msaada wa kulipia bidhaa mtandaoni

    Lazima kadi yako iwe imeruhusiwa na benk husika...maana hata visa yangu ilikuwa inagoma......ni vizuri ukawa unatumia dola japokuwa hata shiling inafaa.... Unaweza fungua account ya paypal ambayo utakuwa unaijaza salio...au pia kupitia direct purchase kutoka kwenye acc yako ya benk... Kujaza...
  9. Idd Omary

    Natafuta shamba kwa ajili ya ufugaji kuku

    Wadau naulizia utapatikanaji wa shamba la kufuga kuku, either katika mikoa Dar, Arusha, Moshi, Pwani(Ruvu) Tanga, Moro hata Singida, sehemu moja wapo. Kama lipo mniambie na gharama za kukodi, nahitaji msaada wenu, maana hapa naandika project upatikanaji wa eneo ndo unazingua, tusaidiane...
  10. Idd Omary

    Ni kama saccos ila sio saccos

    Wazo zuri sana mkuu, ningeongezea kwa kusema tafuta watu wasio zidi watano na wasiopungua watatu, mnaofanana kitabia, wote wana hari kama yako, wana hamu ya maendeleo, wanataka kuumia. Nasema hivi maana ilitutokea sis tulikuwa tunakikundi, cha mtu tano, tukapata kamkopo kaa m2, tukaanzisha saiti...
  11. Idd Omary

    Nina Ekari 30, maji yapo, naomba ushauri nifanye nini nitoke?

    Kama una mtaji hata wa kulima heka 5, kilimo cha matunda, niite tuji tutengeneze hela, nimelima nyanya na vitunguu sana huko west, sema mashamba ya kukodi mwenye nalo alinitamani akalichukua, pia nina uzoefu wa kulima mazao ya nafaka hasa mahindi na maharagwe, pia kufuga kuku wa nyama(broiler)...
  12. Idd Omary

    Kumbe mabadiliko wanayonadi UKAWA ni...

    Hehe mshkaji anafuata upepoo, hajielewii
  13. Idd Omary

    Warioba: Apinga kauli zinazotolewa na Lowassa pamoja na Sumaye kwenye mikutano yao ya kampeni

    Hivi warioba na lowasa mnajua wana uhusiano gani? Naona ndio maana lowasa anajiamini saana
  14. Idd Omary

    Who will win Tanzania's Election? Taxi drivers in Dar speak out

    Poor minded people, hizo ni sample tuu na hawamaanishi ni kura zenyewe, na wewe unasemaje?
Back
Top Bottom