state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
Sijui Kagera ,Kilimanjaro, Mbeya ,Mwanza zote chali sasa ni wacheza unyago na waliotwa wa madrasa tu,
Ukiangalia utajua baada ya kudhibiti wizi wa mitihani kuna mikoa itaumbuka sana na kujifanya wasomi na wenye shule nyingi eti za misheni.
Mbali na uchumi wa gesi na korosho vijana wa wachonga vinyago(walivyoitwa zamani) kesho mtawakuta vyuoni ,
Kusini kuchele pitia jedwari hapo
Ukiangalia utajua baada ya kudhibiti wizi wa mitihani kuna mikoa itaumbuka sana na kujifanya wasomi na wenye shule nyingi eti za misheni.
Mbali na uchumi wa gesi na korosho vijana wa wachonga vinyago(walivyoitwa zamani) kesho mtawakuta vyuoni ,
Kusini kuchele pitia jedwari hapo