Habarini Wana jukwaa.
Nimekuja mbele Leo kutafuta connection, Network ya kazi.
Nina uzoefu wa miaka 8 kazi za Administration, procurement and logistics.
Nina uzoefu nmefanya kazi kwenye Mashirika na pia kwenye sekta binafsi.
Nipo tahari kufanya kazi mahali popote.
Kwa Maelezo zaidi pamoja na...
Hello wana jukwaa.
Mwishoni mwa mwezi wa tano, kulikua na usaili wa kuandika Mottmac Dodoma, wakasema watatoa majibu ndani ya wiki mbili.
Wiki mbili naona zimeisha.
Kwa waliofanya usaili uo kuna lolote linaendelea uko, mmepatamajibu yoyote.
Na kama kuna mtu humu ndani wa organization io...
Mkuu, inaonekana ina positive mind set na jambo ili, nina swali kwako mkuu, unaweza kuoa mwanamke mwenye mtoto?ukampenda mwanae,ukamhudumia na kumsomesha kama wako?
Mwaka 2017 Nilienda kufanya usaili kwenye NGO moja ivi dodoma, kwenye usaili ule majibu mengi ya uzoefu nilidanganya, ila yule mwanamke aliekua ananihoji alinipenda.
Akanisaidia sana kupata ile kazi, na baada ya kuipata akaniambia najua ulikua unadanganya ila nilipenda ulivojiamini.
Tukawa wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.