Recent content by icca

  1. icca

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Wakuu, Weekend hii ndefi naomba mnisaidie kdrama ipi nzuri ya kuangalia. Yenye visasi na thriller.
  2. icca

    NATAFUTA KAZI-NINA UZOEFU WA ZAIDI YA MIAKA 8.

    Habarini Wana jukwaa. Nimekuja mbele Leo kutafuta connection, Network ya kazi. Nina uzoefu wa miaka 8 kazi za Administration, procurement and logistics. Nina uzoefu nmefanya kazi kwenye Mashirika na pia kwenye sekta binafsi. Nipo tahari kufanya kazi mahali popote. Kwa Maelezo zaidi pamoja na...
  3. icca

    Natafuta Mzee Mwenzangu tumalizie Ungwe(ke)

    Niko apa mzee mwenzangu
  4. icca

    Written interview - Mott MacDonald

    Yoyote Mkuu, Ila Lengo ni kujua kinachoendelea, majibu ya written yalitoka? Kama una ayo majibu itakua vizuri.
  5. icca

    Written interview - Mott MacDonald

    Hello wana jukwaa. Mwishoni mwa mwezi wa tano, kulikua na usaili wa kuandika Mottmac Dodoma, wakasema watatoa majibu ndani ya wiki mbili. Wiki mbili naona zimeisha. Kwa waliofanya usaili uo kuna lolote linaendelea uko, mmepatamajibu yoyote. Na kama kuna mtu humu ndani wa organization io...
  6. icca

    Inauma sana na haivumiliki

    Mkuu, inaonekana ina positive mind set na jambo ili, nina swali kwako mkuu, unaweza kuoa mwanamke mwenye mtoto?ukampenda mwanae,ukamhudumia na kumsomesha kama wako?
  7. icca

    Spika Tulia aanza ziara ya kuwaelimisha wananchi wa Mbeya faida za mkataba wa bandari

    Aisee na io ziara bado atapata posho kwenye ela zetu.Serikali hii ni kichefuchefu
  8. icca

    Mtu gani alikuja katika maisha yako alikusaidia na kuondoka

    Mwaka 2017 Nilienda kufanya usaili kwenye NGO moja ivi dodoma, kwenye usaili ule majibu mengi ya uzoefu nilidanganya, ila yule mwanamke aliekua ananihoji alinipenda. Akanisaidia sana kupata ile kazi, na baada ya kuipata akaniambia najua ulikua unadanganya ila nilipenda ulivojiamini. Tukawa wote...
  9. icca

    Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi

    Naomba nikazie apa.
  10. icca

    Mwanaume asiyemtuza mtoto wake ni mwanaume mjinga

    Ambazo zinaweza kua zipi? Natamani kufahamu ata kwa uchache.
  11. icca

    Kwanini watu hawawapi watoto wao majina haya?

    Mbona rahisi..zaa wako umpe majina ayo na washawishi na nduguzo
  12. icca

    Nipo hospitali Mgonjwa amejifungua kwa operation ila damu wanasema hawajamuongezea kwahiyo tulipe, tuchangie, au tuondoke kwa kusaini

    Changia damu mkuu.kumbuka iliotumika kumuokoa ni damu ya mtu mwingine. Changia ili na mwingine nae apate saidika kama wewe.
Back
Top Bottom