Recent content by ibr_the_brain

  1. ibr_the_brain

    SIMBAAAA KAUA MTU

    Kuwa mzalendo[emoji12]
  2. ibr_the_brain

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Tusua mapene ni program ya kitapeli nimecheza kwa mwaka mzima bila ya zawadi
  3. ibr_the_brain

    SIMBAAAA KAUA MTU

    Unakumbushwa simba akishinda Tanzania imeshinda wapenzi wa simba na wazalendo tujadili pamoja[emoji7]
  4. ibr_the_brain

    Mtu anafukuzwa kazi kwa barua tena ofisini sio hadharani

    Tunaipeleka wapi? Katiba ipo wapi? Msimamizi wa katiba! Wenzetu wanasema elimu aina mwisho sisi tumeiga, ndio maana watu kila kukicha wanasoma uku kama una ujuzi huna elimu unafukuzwa kazi?
  5. ibr_the_brain

    Jamani whatsup imeondoka na 2017?

    Zinazogoma ni wasapu
  6. ibr_the_brain

    Nimependa uimara na uthubutu wa jeshi la zimbabwe.

    Na wengine Africa wajifunze kupitia hili unavyoongoza watu jua unawatumikia wao sio waanze kukuabudu wewe mungu? angejieshimu angeondoka kwa heshima kubwa Sana
  7. ibr_the_brain

    Rais Magufuli na wateule wake waonywa

    Yote ayo yanasababishwa nakatiba mbovu atuwezi kufika kwa style hii ata angekuwa maraika kama katiba aitalekebishwa nae hata weza tunachokisubiri nchi ifikie kupata majanga makubwa (Vita vya wenyewe) Miaka kumi kupita bila maendeleo yoyote tutakumbuka kuwa katiba ninini
  8. ibr_the_brain

    Rais wangu, fedha na dhahabu ni mali ya bwana

    Mtaishi kama mashetani kwani tayari mmeanza kuishi?
  9. ibr_the_brain

    Nataka kuanzisha biashara ya kuprint calendar zenye picha za viongozi

    ukiibandika om. barabarani magari yatakuwa yanakunusuru kukugonga[emoji3][emoji3] hela hupati kama zamani.ndoto za usiku kama unaangalia muvi za mazombi
  10. ibr_the_brain

    Piga Kura ya Lissu kufunguliwa Mashtaka mapya..

    Mtoa maada akapimwe akili utaifa gani nchi inawashinda mapema upendo amani pia uhuru ukitawara tutafika mbali sisi sio viziw wala vipofu yetu Macho uhuni wa serikari ya tano unamwisho wake
  11. ibr_the_brain

    Kwanini mnawaamini wanasiasa?

    Nchi inamshinda mapemaa hata mwaka ajamaliza nchi haiendeshwi na mtu mmoja kupenda sifa kunakera watu kibao fukuza mtu mfunge si mwizi? Kwanini mnatuchezea kiini macho nchi imejawa na ukabila atuwezi kufika jamaa kajisahau sana tena mapema kabana mzunguko wa pesa watu wanakimbia nje ya nch mambo...
  12. ibr_the_brain

    DC Hapi atembelea ghafla hospitali ya Mwananyamala usiku

    Tz nchi ya mizuka wajinga kibao tunaona wanaelewa kazi. Serikari ya awamu ya 5 naifananisha na kitabu chenye title kubwa nzuri kilichopambwa kwa cover zuri alafu ndani akuna lolote empty page tumia akiri fatilia kwa kina utaona watu waoga kutetea haki zao wanaungana na mzuka hata kwa kinafiki...
  13. ibr_the_brain

    Kina nani hawakupinga misaada ya kigeni kabla ili kutaka kujitegemea?

    Kila kitu usanii tunahitaji kutawaliwa upya haki hakuna matajiri wanatawara masikini wanatawatiwa
Back
Top Bottom