Jamani whatsup imeondoka na 2017?

Jamani whatsup imeondoka na 2017?

Mimi nilijua ttcl 3g yake ipo jf tu WhatsApp haotumii.

Zima washa data kumbe ni server zao wenyewe... pumbavu imerud sasa
 
You may have new messages... Ndo kinacho display kwny dashboard
 
bora nishatuma Barua
e35748fdc476a58902051c2a82535b55.jpg


Nadhani nitatizo kwa baadhi ya watumiaji wa WhatsApp dunia
 
Dhuuuuu mm mpaka nme I uninstall
Maana nliona n kama cm ndo inacheza na network lkn baada ya Ku download upya hakuna ktu Bado ttz likopalepale
Kumbe n wengi co pekeang
 
walikua wanabadili gia angani wanahamisha meseji zenu kuzipeleka mwaka mpyaaaa!
 
Back
Top Bottom