Recent content by IAN ULOMI

  1. I

    Watoto wa Tanzania

    Mungu ata tuhukumu wote ambao hatutafanya maamuzi ambayo yatawatoa hawa watoto katika haya matatizo na tusipokua makin hawa watoto hawatakuja kutusamehe milele.
  2. I

    Hongera Tundu Lissu: Hoja ya kurudisha Tanganyika!

    Kabisa tunataka tanganyika yetu.
  3. I

    Miss Universe Tanzania 2011/2012, Nelly Kamwelu

    Mmmhh what is it about her..?
  4. I

    Mkapa + Wassira = CCM dhaifu

    CCM wamenajisika.....hata waoge kwa Acid hawawezi kusafishika.
  5. I

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    Sor sifahamu nataka kujua inawezekana kusoma diploma baada ya elimu ya 4m 4...
  6. I

    Baraza la mawaziri la dharula usiku huu

    Kwa kweli nimejifunza sana kwa hichi kisa cha nabii suleman....
  7. I

    Vyuo vikuu mnatia aibu kwani mnaonyesha mlivyo mbumbumbu kwa hili

    Tosha na chief mp mmekisahua SEBASTIAN KOLOWA TUMAIN UNIVERSITY COLLEGE (SEKUCO) kitu online
  8. I

    Nikimwambiaga nimechoka ni kesi! Nipeni ushauri!

    Kijana andika post kama wa kiume bana unakuaje
  9. I

    Wanawake wa pwani na wakiarabu

    Dah yani mmeongea mafumbo matupu.
  10. I

    Mchina anazidi kuharibu makalio ya wadada

    Hayo sio ya ukweli
  11. I

    kati ya nokia x201 na nokia n73

    X2-01 zipo poa sana kwenye internet
  12. I

    Wanawake ngojeni ni wape siri-kuhusu sisi wanaume

    Kweli sex si love unaonaje kama unamke au mchumba umruhusu tu afanye hiko kitendo na mwanaume mwingine ili akuapriciate na kukupenda zaidi coz atakua haku cheat atakua anakuambia ukweli kila kitu.
  13. I

    Haka Kabinti jamani doh!

    Dah hapana kuna vingine viko behind tha scene umevisema vya huyo binti tuu ila ukivomfanyia ww umeviweka kapuni....
  14. I

    mzungu kwenye daladala

    Hahahahahahahahahahahahah lakin inaonekana haija tokea kweli
  15. I

    Clouds: Acheni kufagilia upuuzi - wewe Diva - Loveness Love unajiaibisha....

    Mtasema yote ila Diva wa ukweli habahatishi.
Back
Top Bottom