ngosha2011
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 681
- 87
msaada jamani kati ya nokia n73 na nokia x201 ipi simu nzuri zaidi?ushauri kabla sijanunua
msaada jamani kati ya nokia n73 na nokia x201 ipi simu nzuri zaidi?ushauri kabla sijanunua
utata wa n73 ni kale ka''analog'' button pale kati... Zinasumbuaga...Ila ni simu nzuri sanaa... designed for taking clear pictures, good perfomance..
Sasa jamani wadau,me ndio mshamba kabisa kwenye haya mambo ya simu,ila nataka simu ya nokia yenye button sio touchscreen,halafu yenye screen pana na yenye uwezo mkubwa wa kusuport internet,nishaurini ipi nichukue na bei yake kama kuna mtu anaufahamu zaidi na hilo.