tobycow
Senior Member
- Apr 12, 2011
- 129
- 13
siku moja kulikuwa na mzungu mmoja na wabongo kibao kwenye daladala ya kuelekea masaki basi ilipofika saa ya kukusanya nauli konda akasikia harufu ya ushuzi, ndipo akauliza nan kajamba.jamaa mmoja akaropoka mzungu.ndipo mzungu akamjibu kyumanina ntakukamerun hapahapa