Recent content by IamMrLiverpool

  1. IamMrLiverpool

    Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

    Haka kachalii kanautaka urais 2030 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Maajabu zaidi ni kwamba kanajua njia za ccm zote na watakachagua tu kugombea hicho kiti sababu kana jua kucheza karata zake vzr sana
  2. IamMrLiverpool

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Haya sasa mtoto wake ajiandae kuchukua fomu kumrithi
  3. IamMrLiverpool

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Aliwahi kutoa kauli yoyote kukemea utekaji? Aliwahi kutoa kauli yoyote kukemea mauaji ya 2910? Tuanzie hapo.
  4. IamMrLiverpool

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwa miaka mitatu sasa sijapewa jibu la swali langu. Je usajili wa Declan Rice ni asset au Liability Je ???
  5. IamMrLiverpool

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Forward saka halafu ubebe ubingwa hivi nyie mna akili kweli ❓❓
  6. IamMrLiverpool

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Narudia tena hamuwezi kushinda lolote kwa kutegemea magarasa mawili Caicedo na Lavia yani mtapigwa sana hata aje Zidane kuwa kocha
  7. IamMrLiverpool

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Galatasaray hatosahu usiku huu.
  8. IamMrLiverpool

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Naendelea kuwakumbusha kuwa caicedo ni garasa na mwenzake lavia acheni kuwapanga hamsikii.
  9. IamMrLiverpool

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mtaendelea kupigwa kwa kumtegemea garasa Caicedo. Endeleeni na kiburi.
  10. IamMrLiverpool

    Siku mkija kugundua aliyetaka kutoa uhai wa Tundu Antipas Lissu sio Magufuli ila wahuni walitumia fursa mtakubali? Na leo wanataka kumnyonga

    Huyo kenge wako wa chato alichukua hatua gani?? Kama sio mhusika??? Nani alizuia wabunge wasiende kumtembelea hospitali??? Nani alizuia pesa zake za matibabu???? Unataka kuleta ajenda ya kipuuzi. EM TOKA APA.
  11. IamMrLiverpool

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Umfunge psg kwa kumtegemea garasa Caicedo 🤣🤣
Back
Top Bottom