Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ila mimi hua nashangaa sana nyie mnaosema mchezaji fulani siyo wa kucheza Real Madrid. Hao wachezaji wenye hadhi ya kucheza Real Madrid wako wapi? Nitajie walau watano tu.

Embu nitajie ni kiungo gani mwenye goli nyingi kwenye haya mashindano yanayoendelea kuzidi Jude.

Tusiishi kwa kukariri Jude ni aina ya viungo ambao wanapenda kucheza ndani ya box wanapopata open space.

NB: Hakikisha unanitajia wachezaji watano tu wenye hadhi ya kucheza Real Madrid.
Huyo lous Figo anaemsifia Sasa Kwenye world cup ana goli ngapi? Hao kina zidane wote hawakafika idadi ya goli alizofunga Kwa mkupuo mmoja Kwenye world cup.

Sasa na sisi tukariri kama yeye tumsifie Jude kua ni mnoma kuliko wale wote?

Ndomana nawaambia watu mpira umebadilka na sisi lazima tubadilishe mitazamo yetu hasa Kwenye kulinganisha Wachezaji wa Sasa na WA zamani.
 
Yupo wapi sasaivi mchezaji anacheza kama Figo, zidane, Ronaldo de Lima au Cr7?

MPIRA imebadilika mkuu Kuna vitu na sisi lazima tubadilishe hasa namna ya kuwatazama Wachezaji.

Sio kuwalinganisha na WA zamani tu.
Ndio mpambane kuwatafuta au kuwazalisha kwani hao wachezaji waliibuka tu kama uyoga !?
 
Huyo lous Figo anaemsifia Sasa Kwenye world cup ana goli ngapi? Hao kina zidane wote hawakafika idadi ya goli alizofunga Kwa mkupuo mmoja Kwenye world cup.

Sasa na sisi tukariri kama yeye tumsifie Jude kua ni mnoma kuliko wale wote?

Ndomana nawaambia watu mpira umebadilka na sisi lazima tubadilishe mitazamo yetu hasa Kwenye kulinganisha Wachezaji wa Sasa na WA zamani.
Wee jamaa mchezaji hatazamwi Kwa mabao tu pekee

Hii mentality ya mchezaji Bora kutazamwa Kwa magoli mmeitoa wapi !?
 
Huyo lous Figo anaemsifia Sasa Kwenye world cup ana goli ngapi? Hao kina zidane wote hawakafika idadi ya goli alizofunga Kwa mkupuo mmoja Kwenye world cup.

Sasa na sisi tukariri kama yeye tumsifie Jude kua ni mnoma kuliko wale wote?

Ndomana nawaambia watu mpira umebadilka na sisi lazima tubadilishe mitazamo yetu hasa Kwenye kulinganisha Wachezaji wa Sasa na WA zamani.
Na bapa ndipo wengi wanapokwama na huku ni kuukosea heshima mpira wa miguu.

Mchezaji kama Jude tayari ameonyesha aina ya uchezaji wake hivyo ni jukumu la kocha kumtumia kwa namna ambayo yeye anafaa zaidi kuliko kumlazimisha kwa namna ambayo haitamfaa na isiyoleta faida kwa timu.
 
Eti huyu ndio star wa timu😂😂😂 Nawachukia mno yaani akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia
officialfootballcommunity_14050430_194147620.webp
 
Jude ni mchezaji mzuri but to me in my pOV sio mchezaji wa level ya real Madrid Jude ni mchezaji wa kawaida Tena sana

Yaani kutoka kuwa na mchezaji kama Luis Figo zidane Ronaldo delima To cr7 bale benzema to Jude Bellingham he's overrated

tatizo kubwa la Jude ni kuwa anshindwa kufanya majukumu ya position yake anayocheza.
huwezi cheza No 10 halafu ukashindwa kutengeneza nafasi kwa forwardline. matatizo makubwa yanayoikabili madrid kwenye fowardline yanatokana nayeye. yeye ndie alitakiwa awa serve Mbappe na vini, bali yeye hua anungana nao kuvizia kufunga.
 
Ila mimi hua nashangaa sana nyie mnaosema mchezaji fulani siyo wa kucheza Real Madrid. Hao wachezaji wenye hadhi ya kucheza Real Madrid wako wapi? Nitajie walau watano tu.

Embu nitajie ni kiungo gani mwenye goli nyingi kwenye haya mashindano yanayoendelea kuzidi Jude.

Tusiishi kwa kukariri Jude ni aina ya viungo ambao wanapenda kucheza ndani ya box wanapopata open space.

NB: Hakikisha unanitajia wachezaji watano tu wenye hadhi ya kucheza Real Madrid.

Kazi ya kiungo sio kufunga goli bali ni kutengeneza nafasi za goli. Olise amemaliza world cup na assist 7, Jude amemaliza na 1.
 
Kazi ya kiungo sio kufunga goli bali ni kutengeneza nafasi za goli. Olise amemaliza world cup na assist 7, Jude amemaliza na 1.
Ni jukumu la kocha kujua mchezaji wake anafit vizuri kwenye nafasi ipi kulingana na aina ya uchezaji wake ili aweze kuwa na faida zaidi.
 
Sajili za sasa hivi haloo, husikii tetesi mara vuu tumemsajili mtu, huyo kijana wa Ivory Cost hata sikuwahi kumdhania, sie yetu ni support tu
 
Bado!! Sasa sijui ni kweli Perez anataka kumsajili ama anataka kumtishia Vinicius!? Acha tuone itakavyoenda, maana wanadai kuwa kijana ameshakubaliana na Real Madrid, so hapo imebaki Madrid kuweka offer yake mezani.
Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba bado mazungumzo ya club kwa club ila offer iliyowekwa ni 100.
 
Back
Top Bottom