Recent content by hidekel

  1. H

    Nauza Kitanda na Godoro

    Wakuu na-relocate to Mwanza kikazi Nauza Kitanda na Godoro (5X6). Vipo Dar . Bei TZS 180,000 vyote kwa pamoja. risiti ya godoro na warranty yake vipo Nimevitumia kwa miezi miwili Risiti ya kitanda nimei- misplace katika mchakato wa kufungasha mizigo mingine
  2. H

    Kwa Wapenzi wa Filamu za Mapigano (Action Movies)

    Apocalypto The deadly voyage Deadly Voyage Full Movie - YouTube
  3. H

    Ukikuta msg hii kwa Mkeo au Mumeo unafanyaje?

    kuna jamaa alipost thread moja ya misemo mbalimbali moja inasema ukitafuta mke wa kuoa macho yote yawe wazi ukishaoa fumba jicho moja. hawa wanawake ukienda style ya kupiga chini utakuwa na wake dozen nzima kila mmoja atakuja na lake. hapo lazima umtafute huyo mtu umueleze kwa bayana kama ni...
  4. H

    Mpenzi wangu nimpendae ni "lesbian". Je, nimuache?

    wanawake wote wanapendezwa na wanawake wazuri zaidi yao ila kwenda mbali na kutengeneza hisia hilo ni suala lingine
  5. H

    Leo Wifi atajibeba...

    Pole sana dada ila usijeacha ndoa yako kwa pressure za mawifi, kabisa wakamuulize BWANA kwani wewe kosa lako ni lipi? every thing happen for a reason
  6. H

    Rafiki yangu yamemkuta ya kumkuta, mke amemkimbia, msaada tafadhali

    huyo jamaa aliejiingiza kwenye hioyo ndoa 'ashughulikiwe' kwani hata kama wataongea tatizo ni kuzima hisia za huyo jamaa alieiba au kuteka moyo wa huyo mama. cha kwanza apewe strong verbal warning ikishindikana cha pili itafutwe lasting solution once and for all kinyume cha hapo huyumwenye mke...
  7. H

    Kuonyesha uzalendo Watanzania tususie maonyesho ya Syria

    Tutegemee kuona nini kwenye hayo maonyesho? Mabomu, maiti za watu waliouawa kwa sumu AK47 Locket launcher vifaru vilivyolipuliwa nk
  8. H

    Wezi wa mtandao wanaswa Buguruni

    namba yoyote uki-renew ile ya awali ina-scrumble immediately, ila namba ya siri ndo sijui wanafanyaje lakini katika technology lolote linawezekana. kama software za waisrael hamna ambapo wanashindwa kuingia na kama a wangekuwa wezi hakuna technology yoyote ya kuwazuia kuingia katika mfumo...
  9. H

    I am looking for a business partner in an attractive Agro-processing business located in Dar

    partnership ispokuwa leggaly forged wataishia kudhulumiana na kuleteana majambazi , lazima role za kila mmoja ziwe clearly defined , jinsi watakavyogawana faida na jinsi ya kudgibiti na kusimamia lakini wakienda style ya Kuaminiana aminiana ngoma itaWwaka tu iwe isiwe tena itakuwa mbaya sana...
  10. H

    Julius K. Nyerere: Ikulu ni pahali patakatifu, sio pango la wanyang'anyi

    wanafunzi wa chuo kikuu whether in group or individually walikua wanapeleka shida zao ikulu straight
  11. H

    Rais wa Syria Assad aionya USA

    hapa ndo namkumbuka mzee wa kazi George Walker Bush, kazi ingekua imeisha siku nyingi tumesahau
  12. H

    ..Tough times for Precision Air...will the TZ Government bail out this company??...

    Kilichowaponza precission ni lack of long term strategic planning. wao walipoona wamekuwa superior kwenye market baasi, kwanza mbali ya kuwa huduma zao zilikuwa duni kila kukicha bado pia walishindwa kutengeneza mix nzuri ya capital financing source. yaani operation imekuwa too huge at low...
  13. H

    Heroin na cocaine zapanda bei

    nchi yetu imedhalilishwa sana kupitiliza, na kibaya zaidi wanakamtiwa nje ya nchi yaani hapa kwetu ni kichochoro ambacho hakiwapi shida kabisa. polisi wanasema wanadhibiti nini wakati ni huyo mmoja walieambulia wa kete 86.
  14. H

    Uhamiaji yaomba wananchi kuwataja Wahamiaji haramu nchini

    wanakula rushwa kila siku hata kama tukitaja haitasaidia, wao waweke barrier tu na kuhoji mmoja baada ya mwingine kama Kenya wanavyofanya
  15. H

    Nchi inayoongoza kwa upelelezi africa

    Rwanda nadhani wako vizuri kwenye upelelezi, wa kimataifa na hii hasa inachangiwa na uzarendo wa wananchi wao katika nchi yao, hata uwape nini jamaa akiona issue tu lazima akulipe juu na watu wa juu wako makini sana
Back
Top Bottom