Vannele!!! ulitakiwa kutafakari kabla ya kuchukua hatua, nina maana gani kwa kuwa ndoa yako haijamaliza mwaka, ulitakiwa ukae kimyaaaaaaaaaa!!! ukiwa unamwomba MUNGU afanye muujiza wake kwa kuwajibu wsemao huzai, kwa sababu leo umefanya hilo mumeo amekuunga mkono kwa sababu bado anakuoenda, ila kumbuka iko siku ataungana na nduguze kukushambulia pale utakapokaa muda mrefu bila ya kupata mtoto, na yy anahitaji mtoto, hapo ndipo utakiona cha MTO, maana atakuwa anaunga mkono hoja za nduguze kuwa walikuwa wanasema ukweli kuwa wewe huzai, na amethibitisha hilo. So Muungwana ni vitendo, si maneno. Ungengoja upate mtoto ndipo uwaringie kwa kuwaonyesha kuwa wao wamekosea.
heee we unauhakika gani huyo mumewe anazaa asilimia 50 ya men wa tanzania hawana uwezo wakupachika mimba,iweje waje wamshambulie kua hazai