Recent content by hide

  1. hide

    Nani unamu-admire hapa JF?

    Madam B
  2. hide

    Kesho najiondoa rasmi CHADEMA. Nimechoshwa na siasa njaa na kuendekeza matumbo

    Kesho nami nalipia kadi yangu ya uanachana hai wa chadema
  3. hide

    Wazazi mlio na watoto vyuoni shtukeni

    Sawa je akimaliza chuo mkoa mahalo tuishipo naweza nikamwajiri pia ama atahama kwenda kutafuta hio ajira , kama n tabia yake nahakitambui kuishi naye haimuondolei kujiuza
  4. hide

    Natafuta Mashine ya kukata crips za ndizi

    Tunasubiria pia majibu
  5. hide

    Simba Sport Club yafungiwa kusajili kisa Pape Ousmane Sakho

    Simmeanza wenyewe mnamtaka max sasa ngoja dawa iwaingie, ikitokea mkafungwa Tena kuna dalili ya bakora kutembea msimbazi
  6. hide

    Tumshauri kijana huyu cha kufanya, muda bado upo

    Kazi hio tunaitizama kwa macho ya rohoni
  7. hide

    Engineer Hersi anafanya uongozi wa soccer uwe mgumu

    Tulifungwa na ihefu hakuna aliyelalamikia uongozi kwani wanaimani nao, upande wapili wajifunze hakuna haja ya kutafuta mchawi nikujipanga nasio kisajili kwa mihemko
  8. hide

    Mahari kubwa yamkosesha mke

    Binti na nduguze lao moja lengo kumkamua mwamba
  9. hide

    Mume anahitajika

    Umri wako bado niwakulamba ice-cream za Mia Mia
  10. hide

    Haris Kapiga umekuwa msoma taarifa wa kudumu wa Clouds Tv?

    Taarifa Yao Yahabari Huwa Wanasoma Muda Gan ?
Back
Top Bottom