Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,006
- 11,309
Ninazo mpaka za Ziada, sema hapo kwenye akili timamu kwangu naona zimezidi, ndo maana niko day hapa Mirembe UniversityUna sifa anazozihitaji?
Ninazo mpaka za Ziada, sema hapo kwenye akili timamu kwangu naona zimezidi, ndo maana niko day hapa Mirembe UniversityUna sifa anazozihitaji?
Ngoja nikushike mkono nikupelekee chumbani kwake mkaelewane huko.Ninazo mpaka za Ziada, sema hapo kwenye akili timamu kwangu naona zimezidi, ndo maana niko day hapa Mirembe University
afya yangu ni njema ila akitaka tupime sio shida na kama ye ni HIV + pia sio tatizo kikubwa upendo kwani kuna washauri wa jinsi ya kuishi na kupata watoto salama mi naitaji tu upendo wakeHujaongelea kigezo cha afya
Ngoja nikushike mkono nikupelekee chumbani kwake mkaelewane huko.
Bibie povu namna hiyo mbona unatutia uoga tunaoa mke au mwanasiasasina asira, niwe na asila nawe kwani unanitunza anayenitunza ajanichoka
una mawazo ya 1700 kaogeMume hapatikani kinamna hiyo, kama unasubiri ndoa kinamna hiyo. Utazeeka single, yaani uko ulipo ukose mume hadi uje mtandaoni.
Jitathmini kwanza kuna tatizo gani hadi ukafikia wakukwepe, sidhani huko mtaani hakuna mwanaume. Tatizo lipo kwako
Alafu kuna kitu kimenikaba nataka kusema hapa ila haparuhusu, baadaye usisahau kuja kilingeni kuna kesi yako.Ngoja nikushike mkono nikupelekee chumbani kwake mkaelewane huko.
Mi Nina 40, huwezi kunifikiria?Awe mkristo awe na kazi halali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu, awe mwelewa ugomvi sipendi, awe na umri kati ya miaka 32-38
Mimi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi.
Waume za watu sitaki, na ukinijaribu sitakujibu
Mkuu, hilo swali halitajibiwa maana yale majibu yaliyotolewa tayari yanatoa picha kuwa yukoje na kwanini anatumia njia anayoitumia kutafuta mtu wa kumwoa!martft UMESOMA KWELI WEWE?
ASILA=HASIRA
ASIRA=HASIRA
USIWALOGE=USIWAROGE
AJANICHOKA=HAJANICHOKA
NAITAJI=NAHITAJI
dusina asira, niwe na asila nawe kwani unanitunza anayenitunza ajanichoka
Duuh! Umri umekuacha kinoma mpk umechanganyikiwa yaani. Upo tayari hata mwenye ngoma ili mradi awe na upendo! ? Hadi umri huo hujawahi kupendwa?? Na menopause ndiyo hiyo inapiga hodi. Pole sana.mi
afya yangu ni njema ila akitaka tupime sio shida na kama ye ni HIV + pia sio tatizo kikubwa upendo kwani kuna washauri wa jinsi ya kuishi na kupata watoto salama mi naitaji tu upendo wake