Kuna mafuta flani kama cream hivi(rangi nyekundu) yanatengenezwa Mbeya kwa matunda,siijui jina. Ni nzuri sana kwa tatizo hilo. Mdogo wangu alitumia kama utani,tatizo likaisha. Mara nyingi inatangazwa kwenye mabasi. Watu wa Mbeya watusaidie jina.
Habari wakuu! Katika mitihani ya Board ya wahasibu na wakaguzi(Syllabus mpya) inasemekana kuna exemption ya kutokufanya baadhi ya masomo kama ulishawahi kufanya mitihani hiyo kabla ya syllabus mpya. Ni kweli kuhusu hilo? Na kama exemption ipo,utakayotakiwa kuyafanya ni masomo gani?
Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.