Recent content by Hern

  1. H

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Asante Mungu,asante Ontario kwa uzi huu! Eeh Kristo Yesu uutangulie uzi huu na mafunzo yake uwe na manufaa mbele zako.
  2. H

    Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

    Kuna mafuta flani kama cream hivi(rangi nyekundu) yanatengenezwa Mbeya kwa matunda,siijui jina. Ni nzuri sana kwa tatizo hilo. Mdogo wangu alitumia kama utani,tatizo likaisha. Mara nyingi inatangazwa kwenye mabasi. Watu wa Mbeya watusaidie jina.
  3. H

    Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

    Uongo mtupu! Nimeshajaribu huo udongo wenu,hamna lolote.
  4. H

    Wabaya wa 'chorus' bongo

    Baraka de prince
  5. H

    Kwanini Umoja wa Mataifa(UN) hauna Mwenyekiti bali Katibu Mkuu?

    Kuna mtu aliniuliza swali hili siku flani hivi nikashindwa,then akaniambia ni Papa (Pope) wa Vatican eti.
  6. H

    Nani malkia wa nguvu JF

    Rubii
  7. H

    Mwanamke maarufu mrembo kuliko wote Tanzania

    Daah! Sasa kama akina Wema mnawasifia,huyu je? Akili yangu imeganda hapa mimi.
  8. H

    For JamiiForums Mobile users

    [/color]
  9. H

    Jinsi ya ku-highlight sentensi au maneno kwa rangi humu JamiiForums

    JamiiForums ni zaidi ya chuo kikuu[/color ]
  10. H

    Naomba kufahamu kuhusu mitihani ya CPA Tanzania

    Masomo gani hayo atakayofanya?
  11. H

    Naomba kufahamu kuhusu mitihani ya CPA Tanzania

    Habari wakuu! Katika mitihani ya Board ya wahasibu na wakaguzi(Syllabus mpya) inasemekana kuna exemption ya kutokufanya baadhi ya masomo kama ulishawahi kufanya mitihani hiyo kabla ya syllabus mpya. Ni kweli kuhusu hilo? Na kama exemption ipo,utakayotakiwa kuyafanya ni masomo gani? Naomba...
  12. H

    Calisah azidi kuvujisha picha za Wema

    Duuh jaman! Idris njoo huku uone [emoji87]
Back
Top Bottom