Asante kwa hii post nitakuja kununua nimeona namba za simu Nitakwenda kuliko karibu.... je ipo katika ujazo gani? Bei ikoje? Samahani kama ulishajibu haya maswali sijaweza kupitia kila comment
South African Johannesburg je tuta zipataje hapa
Ahsante Mama,
Zanzibar sehemu gani niifate?
mkuu kuhusu picha hata mm nina mashaka,ile ya juu ana ndevu zinaonekana kabisa!masikio pia ni tofauti,hebu weka evidence nyingine nikuletee wateja 10 fasta
Uongo mtupu! Nimeshajaribu huo udongo wenu,hamna lolote.
Kama ni kweli sawa, ila nadhani watu wenye vipara tunaongoza kwa kutapeliwa
Leo ndo naona huu uzi. Ninahitaji huu udongo kwa ajili ya rafiki yangu anapoteza nywele za mbele. Je unaweza kupeleka nyumbani kwa mtu halafu ukalipwa kama yupo Dar? Nikijua ni kiasi gani naomba unipm ili tuelekezane. Nashukuru.
Je clay soil kama ile ya Dead sea inaweza kusaidia kama hiyo ya kwako?
Nashukuru kwa maelezo. Ninachoomba ni kunipa gharama sababu nataka kufanya surprise na hivi nipo mbali na nyumbani nataka nimtumie mtu akalipe lakini inabidi nijue kiasi gani ili nipange naye. Naomba unipm bei na mimi nikuelezee pakudrop mzigo.Nimewahi kuiona na kuisoma hiyo clay ya dead sea.
Ninachoweza kukwambia, hii clay yetu imeonesha mafanikio makubwa sana kwa matatizo yote ya ngozi. Inatibu mapele, fungus, mba, utangotango, moto, chunusi, vidonda sugu, sugu na mipasuko ya miguu, kukatika kucha, fungus za vidole.
Na zaidi ya hapo ni mzuri sana kwa kufanyia facial na scrubbing, inasafisha mwili wote, inatibu kikwapa, inazuia kukatika kwa nywele, inaotesha nywele mpya kwa haraka, inafanya nozi ngozi mwilini na usoni kuwa nyororo. Na mengi mengine.
Hivi karibuni tunakuja na sabuni zake ambazo tupo mbioni kuzifanyia majaribio.
Nashukuru kwa maelezo. Ninachoomba ni kunipa gharama sababu nataka kufanya surprise na hivi nipo mbali na nyumbani nataka nimtumie mtu akalipe lakini inabidi nijue kiasi gani ili nipange naye. Naomba unipm bei na mimi nikuelezee pakudrop mzigo.
Nashukuru nitawasiliana na ndugu waliopo huko Dar. Kibaha sehemu ipi nini watu wangu wapo picha ya ndege pale.Ukinunua kwetu ni 3,500 kwa mkebe (tupo Kibaha, mkoa wa pwani). Ukinunua kwa mawakala hapo Dar ni 5,000 kwa mkebe na unalipia usafirikama utataka home delivery. Piga 0622042778 au 0788782153 kwa Dar.
Nashukuru nitawasiliana na ndugu waliopo huko Dar. Kibaha sehemu ipi nini watu wangu wapo picha ya ndege pale.
Nakuja mkuu mimi shida yangu ni upara aisee unaninyemeleaSi mbali sana na picha ya ndege, tupo Misugusugu, mtaa wa Vitendo, unaingilia Misugusugu shule ya msingi.