Acha kudanganya watu wewe kama unaweza install alafu tuma screen shot tuone nani muongo kati yangu na yako alafu mob dro resolution yake sio kubwa kama unavyosema wewe
Wewe embu jaribu kuheshimu mawazo ya mtu.jamaa amejaribu kuelimisha na sio kuhamasisha so mwache na utakiwi kusema kuwa jamaa anapenda ngono.... Kwani we ujawahi tombana au na kama upendi ngono unapenda nn sasa kama uweZ comment achana nayo basi
Kipi kinakufanya usome diploma kama sio kufeli acheni kujitetea bwana watu wa diploma ni ma failure tuu hatuwezi badilika coz kama ukifauru lazima uchaguliwe huo ndo mfumo wa elimu
According to hii list mkuu inamaana sie tuko vizuri kijeshi kushinda Germany kushinda China kushinda Italy kushinda Spain kushinda soutafrica kushinda Japan duuhh siamini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.