Limbu, Mwenyekiti wetu ACT-Tanzania, Taifa tafadhali njo kwetu hapa njombe utufungulie tawi. Pia kuwa makin na Huyo Mzito Kabe na Mnyiramba Kitira kwan hao wamekuja kuangamiza Chama chetu cha Usalendo.
Freeland
Kwa hili viongozi wakatoliki mjitathimin, kama hamuwezi kumtumikia Mungu natural selection itafanya kazi. Haipendezi m wahusudu wenye mali wakati wasio na mali mnawatenga. Kwa Mungu watu wote ni sawa. Dhambi ya Tajiri msi ihalalishe.
Mkuu umeshasema wasanii basi wengi wao ni usanii, pia baadhi yao shule ni ndogo wanakuwa hawajiamin wana ona bora wawe kwenye hicho chama ili waweze pata rizik
Those who are born from above long to be there. Death to a believer is the release from the imprisonment of this world and his departure is the enjoyment of another world. R. I. P Captain Komba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.