Recent content by Hekaya za Abunuasi

  1. H

    Natafuta Boyfriend ambaye atakuwa mume baadae

    Kim K, umepata pm yangu?
  2. H

    Natafuta Boyfriend ambaye atakuwa mume baadae

    Ni me ku Pi em tayari, mbona sijaona mrejesho?
  3. H

    ACT Tanga hatumtambui Limbu

    Limbu, Mwenyekiti wetu ACT-Tanzania, Taifa tafadhali njo kwetu hapa njombe utufungulie tawi. Pia kuwa makin na Huyo Mzito Kabe na Mnyiramba Kitira kwan hao wamekuja kuangamiza Chama chetu cha Usalendo.
  4. H

    Emanuel Buhohela acha kumzushia Mh.Mnyika

    Kashachelewa saana, kwan mkuu ameshafanya final substations. Chamsingi yeye abakie tu na maadili ya utangazaji.
  5. H

    Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

    Hao Simba wamechukua wameweka waaaaa............ shangilia ushindi
  6. H

    Msiba wa Komba: Kanisa Katoliki Mmejidhalilisha, Mmetufedhehesha

    Freeland Kwa hili viongozi wakatoliki mjitathimin, kama hamuwezi kumtumikia Mungu natural selection itafanya kazi. Haipendezi m wahusudu wenye mali wakati wasio na mali mnawatenga. Kwa Mungu watu wote ni sawa. Dhambi ya Tajiri msi ihalalishe.
  7. H

    TANESCO watoa ufafanuzi matatizo ya LUKU!

    Pole mkuu, ila wana kera saaana. Walitakiwa watoe taarifa mapema na sio kushitukiza kama walivyo fanya
  8. H

    Wasanii wengi kushabikia CCM,inaashiria nini?

    Mkuu umeshasema wasanii basi wengi wao ni usanii, pia baadhi yao shule ni ndogo wanakuwa hawajiamin wana ona bora wawe kwenye hicho chama ili waweze pata rizik
  9. H

    TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

    Those who are born from above long to be there. Death to a believer is the release from the imprisonment of this world and his departure is the enjoyment of another world. R. I. P Captain Komba
  10. H

    Mtu kakutwa amefariki maeneo ya ARU

    Ipo Dar close to Mlimani City
Back
Top Bottom