Limbu, Mwenyekiti wetu ACT-Tanzania, Taifa tafadhali njo kwetu hapa njombe utufungulie tawi. Pia kuwa makin na Huyo Mzito Kabe na Mnyiramba Kitira kwan hao wamekuja kuangamiza Chama chetu cha Usalendo.
Hahahaha naona vijana wa ufipa wanaweweseka na ACT.
Dah ACT mnanipa raha jinsi mlivyowashika makalio hawa ufipa family make naona wanarukaruka tu kama bisibisi. Najua wiki hii hata viroba havipandi kutwa mnaiota ACT.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.