Emanuel Buhohela acha kumzushia Mh.Mnyika

Emanuel Buhohela acha kumzushia Mh.Mnyika

wakihojiwa na ITV wakazi wa manzese kutoka jimbo la Ubungo wamelalamia utendaji mbovu kupita kiasi wa mbubge john mnyika. ""tangia mvua hii inyeshe ni mate so maji yamejaa ndani kwa kuwa hakuna mitaro ya maji na mbunge hajawahi kuja eneo hili kutatua kero hii tutamwadhiby 2015."" aliisika mmoja akise.ma.
jimbo la Ubungo Lina shida kubwa ya maji sass no mwez maji hamna, barabara ni mbovu yani mnyika is very weak.. leader

Itafika mahali hata kuchimba vyoo vyetu tutahitaji Mbunge.Kua kidogo basi.Mnyika amefanya makubwa kuliko unavyodhani.Kuna vitu tunahitaji uwepo wa Mbunge,jamani hata mifereji ambayo kwa asilimi 100 ni uchafu tunaouzalisha mitaani kwetu tunatupa kwenye hiyo mifereji
 
Mnyika badala ya kufanya kazi iliyompa ubunge, yeye yuko busy na shughuli za chama, sasa wanaubungo wameshamchoka!
 
Nadhani huyu bwana bado anasumbuliwa na changamoto za kutokujitambua, jana nimeshangazwa sana na hicho kitu.
 
Emanuel Buhohela ni jembe mwacheni kijana wa watu achape kazi mimi huwa nafuatilia sana vipindi vyake huyu dogo yuko vema sana
 
Sasa mnyika kwani haogopi panya road pili yeye sio waziri wa mitaro.
Wamtafute mtendaji wao wamwache mbunge wetu kbs,kwanza hiyo sehemu hawakumpa kura 2010.
 
Back
Top Bottom