nzalendo
Platinum Member
- May 26, 2009
- 12,987
- 14,845
Imeandikwa Duniani kuna dhiki...Kinachoumiza mno ni kwamba ndugu jamaa marafiki familia na wapendwa wake hawajui kuwa ndugu yao tayari hayupo duniani na kafa kifo cha mateso! Dunia hii ioneni hivi hivi ina maumivu ya kila namna
Lakini jipani moyo
Kwa maana mimi nimeushinda ulimwengu