wewe ndugu yangu sikia nikwambie mapenzi siyo pesa, angali mtu anayekuja, unaweza angalia pesa na usiwe na furaha katika ndoa yako, acha kabisa hiyo tabia, na kwa ushauri mwombe sana Mungu akupe mume mwema, kwani yaweza kuwa kati yao hakuna hata mmoja aliye wakwako,,, kaa na Mungu vizuri maana...