Kilwangu huyuu jamaa namuona km sio mtanzania au anatafta Kiki ili JF ifungiwe yakuongea yapo mengi mm nimefungwa mdomo kilicho mtokea Nape kila mtu ameshuhudia
Unabahati unaongea kwenye media hk kwetu kwa ujinga ulio post nina uhakika ungekuwa umefanyiwa lolote huenda saiz yangekuwa mengine be careful sn km unacho usidhan everybody anacho
Mm naona tukamatwe tuu maana nan wa kvumilia ikiwa washauri wetu hataki kuwasikiliza na anaahadi nyingi ambazo zimetufanya kuwa blind ktk utaftajiii wa kjitegemea mm hii kaulii yake ya tumuombee huwa siielewi najua taifa linamushangaa Matendo na alivyo pitaa kuwa Rais imekuwa tofauti cjui ngoja...
Kitaalam wanawake Kama hao wanaitwa vaginism maana yake njia yake iko tightness due to muscular contractions na ili hiyoo hali iishe inabidii afanyiwe curratege dilation, vaginal yake iwe smooth ajickie enjoyable wakati wa tendo la ndoa nakshauri muone mtaalam wa matatizo ya wanawake anaitwa...
Utafitii unafanyika na wataalam so allergy yako usiilazimishe na kwa wengine na sio kila daktari ni mzoefu km ulivyo mtaja ukisoma dawa imeandikwa indication and contraindications even side effects so haya maelezo yana maana yake kwa watumiaji dawa zipo Aina nyingi na zinatibu tatizo moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.