Nitaamini kwa kuwa viongozi wote aina ya makonda watashika adabu , hatutaki kuona tunaonewa au kunyanyaswa kwenye nchi yetu na kikundi Cha watu wachache. Kumbuka furaha na Amani ni zaidi ya Pesa.Hilo linasaidia vipi mamilioni ya watu waliopo vijijini Kwa mfano. Na je una uhakika Hilo tu kitakufanya uamini kweli magufuli ni rais wa wanyonge.. Jukumu Hilo umeliona ni gumu Sana na ni muhimu Sana kutekelezwa??? Upo serious
Taja moja tu moja Kwa moja Bila kuzunguka tuone tatizo liko wapi? Taja moja ambalo Kwa mujibu wa katiba lipo ndani ya uwezo wa rais na halihitaji nguvu nyingi zaidi ya maamuzi tu Bila kujali siasa. Jambo lenyewe liwe linagusa kweli kweli Maslahi ya wanyonge liwe linasaidia mamilioni ya watu na unahisi bado halijafanyika na tatizo liko ndani ya mamlaka hio kuu. Moja tu likifanyika utapata Imani kuwa rais magufuli anamaanisha na labda pengine ni changamoto fulani zinatatiza. Moja tu
Kumpeleka mahakaman RC Wa DSM kwa tuhuma zinazo mkabili.Taja moja tu moja Kwa moja Bila kuzunguka tuone tatizo liko wapi? Taja moja ambalo Kwa mujibu wa katiba lipo ndani ya uwezo wa rais na halihitaji nguvu nyingi zaidi ya maamuzi tu Bila kujali siasa. Jambo lenyewe liwe linagusa kweli kweli Maslahi ya wanyonge liwe linasaidia mamilioni ya watu na unahisi bado halijafanyika na tatizo liko ndani ya mamlaka hio kuu. Moja tu likifanyika utapata Imani kuwa rais magufuli anamaanisha na labda pengine ni changamoto fulani zinatatiza. Moja tu
Alafu ndio watunga SHERIA!say no to criminal... Let's be honest, yaani wewe unaona ni sawa kuwa na kiongozi ambaye amefanya udanganyifu kuhusu elimu yake? Huyu atakuwaje na moral authority Kukemea wenzake kama alivyosema mukulu??
kwani huwa haliipi?Alipe kodi.
kuangalia shilawaduTaja moja tu moja Kwa moja Bila kuzunguka tuone tatizo liko wapi? Taja moja ambalo Kwa mujibu wa katiba lipo ndani ya uwezo wa rais na halihitaji nguvu nyingi zaidi ya maamuzi tu Bila kujali siasa. Jambo lenyewe liwe linagusa kweli kweli Maslahi ya wanyonge liwe linasaidia mamilioni ya watu na unahisi bado halijafanyika na tatizo liko ndani ya mamlaka hio kuu. Moja tu likifanyika utapata Imani kuwa rais magufuli anamaanisha na labda pengine ni changamoto fulani zinatatiza. Moja tu
Mkuu kila kazi inauzito wake, fikiria watu wanao handle miradi ya mabilion, hawa unawaweka sehemu gan,? wao sio muhimu? mfano Mainjinia, Ma Afisa Manunuzi,Madaktari.Sikatai kuongezewa mishahara kwa watumishivwengine lakini swala hili limebase ni kwa kiasi gani hiyo sector au sehemu directly inachangiaje katika uchumi wa nchi na unyeti wa kazi zake.sasa leo hii na hadle trilions za wananchi na serekali unilipe lak5 au6 kama mwalimu.haitakaa iwezekane mkuu