Mjadala kuhusu ajira Tanzania

kichakaa man

JF-Expert Member
Oct 20, 2011
5,479
5,068
Kwanza nianze kwa kusema habar zenu wakubwa wangu . Leo nilikuwa nataman kwa pamoja tujadili hili janga la ajira linalosumbua hii Tanzania yetu leo naomben msaada wa mawazo yenu kuhusu maada hii tujadil kwa pamoja

"CHANGAMOTO YA AJIRA INAYOWAKUMBA VIJANA WA TANZANIA ,NINI KINASABABISHA ? NIN KIFANYIKE KUONDOA CHANGAMOTO HIZI?

ASANTEN KWA MUDA WENU NAKARISHA MAONI YENU
 
Ajira zilizobaki ni kujipendekeza kwa mkuu na kwa kumsifia hata akivunja katiba...........

We unamsikia Trump kuingia tu anataka kushugulikia Ajira zilizopotea.........

Wakati Tanzania kuhoji tu Ajira ni uchochezi...........
 
Apo. Ndo. Napata. Shiidaaa sanaa kumuelewa mtanzania. Tunailaumu sanaa selikali kwa kutokutoa ajira serilini. Apo apo kila. Kosa likitokea mnasema. Ccm. Sasa ww kada wa chama. Tofauti ukipata nafasi ya kazi seliarini ukibolonga. Rawamaa itapewa ccm ila. Aliobolonga ni. Mtu. Wa chamaaa. Tofauti. Japo yupo selikarini. Ila lawama. Zitaenda ccm. Apo. Ndo ule usemi wa UKUBWAA JALALA unapokuwaa. Na maanaa
 
Apo. Ndo. Napata. Shiidaaa sanaa kumuelewa mtanzania. Tunailaumu sanaa selikali kwa kutokutoa ajira serilini. Apo apo kila. Kosa likitokea mnasema. Ccm. Sasa ww kada wa chama. Tofauti ukipata nafasi ya kazi seliarini ukibolonga. Rawamaa itapewa ccm ila. Aliobolonga ni. Mtu. Wa chamaaa. Tofauti. Japo yupo selikarini. Ila lawama. Zitaenda ccm. Apo. Ndo ule usemi wa UKUBWAA JALALA unapokuwaa. Na maanaa
Haujui kuandika bado fua sare zako jumatatu uende shule
 
Back
Top Bottom