Recent content by hashimmbwana

  1. H

    Nimegundua mchezo mchafu wa mke wangu

    Hata kma ni storytu yakutunga ila hua inatokea kma hvyo hivyo mwanamke kma huyu anatamaa ya kipato na kipato hakitoshi kma mm ningeshindwa muombe mungu atakupa good wife kisha mkioa angalie mnaolingana kiuwezo kwn Dada zetu hata wakiwa mackini kibur kpo akikuzd anadharau kma supu ya ngozi ila...
  2. H

    Maongezi vijana wa Tanzania; 96% ni pumba

    Yani vjana unaweza kua na maskani nusu mwaka hakijaongelewa cha mcngi mademu kulewa nafac kubwa mno
  3. H

    Nimethibitisha kuwa maisha hayana maana. 'The life has no purpose'

    Mbona haujafa sasa? Maana wenzako wakigundua maisha hayana maana kasumu Ka 200 katabakia.unasubiri nn
  4. H

    Jinsi daraja la Kigamboni linavyozidi kunipa wachumba kila siku

    Hii nivur kwni nimegundua mwanamke mpaka umdanganye hawaamini ukweli ndo maana hawatulii ni kudanganywatu
  5. H

    Zito sioni ukitoboa!

    Huu ushauri zto anakaz. kupata washauri kma hawa crikalini lazima matetemeko ya ardhi yaingie nchini
  6. H

    Tatu Kikwete ni jipu litumbuliwe

    Katika suala la uongozi kweli elimu ni kigozo but najiuliza jee walio iba nchi hii ni wakulima au wasomi? Labda umakini unahitajika zaidi kupata kiongoz bora
  7. H

    PICHA: Daraja jipya la Kigamboni lageuzwa dampo

    Hio ndo afrika nguvu znazd akili
  8. H

    Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

    JD mpolee anafanya mzki kisha anajitambua anajiheshimu pia ana experience ya cku nyingi hawawzi kulingana na hawa wanao ibuka sasa iv wamkubalitu Dada yetu hana skendo za ajabu cio mkamilifu ila anawazd kwa mazur
  9. H

    Kwanini mwanaume akijua wampenda sana anaanza kukuzingua?

    Alikua anataka kubwa kma kala bac anatafuta mwengne sasa
  10. H

    Marekani yasalimu amri kwa Magufuli

    Mnalugha mbaya nchi hata maleria na kipindupindu bdo yanasumbua kisha marekani inasalimu amri.lakini inawezekana kwa malengo yao wanaweza kusalimu amri kwn wapo kimaslahi zaidi
  11. H

    Hivi kweli mwisho wa mwezi huu ndo mwisho wa dunia?

    Lakin hata ucwe mwisho wa dunia but chakujiuliza mwishowako likni pia ckuzote unaondoka duniani ukiwa na matumaini na malengo ulotaka kuyakamilisha labda nivyema kulidi kwa mungu nakujua kma dunia hata icpo isha mwishoni kwa huu mwez bac kunacku utaichatu
Back
Top Bottom