Hata kma ni storytu yakutunga ila hua inatokea kma hvyo hivyo mwanamke kma huyu anatamaa ya kipato na kipato hakitoshi kma mm ningeshindwa muombe mungu atakupa good wife kisha mkioa angalie mnaolingana kiuwezo kwn Dada zetu hata wakiwa mackini kibur kpo akikuzd anadharau kma supu ya ngozi ila...
Katika suala la uongozi kweli elimu ni kigozo but najiuliza jee walio iba nchi hii ni wakulima au wasomi? Labda umakini unahitajika zaidi kupata kiongoz bora
JD mpolee anafanya mzki kisha anajitambua anajiheshimu pia ana experience ya cku nyingi hawawzi kulingana na hawa wanao ibuka sasa iv wamkubalitu Dada yetu hana skendo za ajabu cio mkamilifu ila anawazd kwa mazur
Mnalugha mbaya nchi hata maleria na kipindupindu bdo yanasumbua kisha marekani inasalimu amri.lakini inawezekana kwa malengo yao wanaweza kusalimu amri kwn wapo kimaslahi zaidi
Lakin hata ucwe mwisho wa dunia but chakujiuliza mwishowako likni pia ckuzote unaondoka duniani ukiwa na matumaini na malengo ulotaka kuyakamilisha labda nivyema kulidi kwa mungu nakujua kma dunia hata icpo isha mwishoni kwa huu mwez bac kunacku utaichatu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.