Tatu Kikwete ni jipu litumbuliwe

Tatu Kikwete ni jipu litumbuliwe

Mkuu kuna majipu mengine madoctor wa tanzania wameshindwa yanatakiwa yapelekwa India kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji
 
Katika suala la uongozi kweli elimu ni kigozo but najiuliza jee walio iba nchi hii ni wakulima au wasomi? Labda umakini unahitajika zaidi kupata kiongoz bora
 
Katika halmashauri ya Kibaha kuna hili jipu linaitwa Tatu Kikwete, huyu ni mkurugenzi wa halmashauri ya kibaha vijijini.

Jipu hili limekuwa likiwanyanyasa sana watumishi wa wilaya hiyo kisa ana undugu na yule jamaa (Jakaya Kikwete) na hata hicho cheo alikipata kwa kubebwa tu maana elimu yake ni diploma in education lakini anawanyanyasa watu wenye elimu zao.

Ana lugha chafu kutukana watumishi hadharani, kuwanyima haki za msingi, kuwagawa watumishi yaani anafanya ofisi kama mali yake ya nyumbani.

Kutokana na tabia zake halmashauri imedumaa na mapato yamedidimia.

Mwisho naomba serikali iwe inatoa vyeo nyeti kama hivi kwa kuzingatia elimu pia na sio ujanja ujanja haiwezekani subordinate wakawa na elimu na upeo mkubwa kuliko superbordinate ndio mwanzo wa kupata viongozi vilaza.

Naomba wenye mamlaka wafanye uchunguzi kisha watumbue tu haya majipu ya awamu ya nne yaliyovimba kindugundugu.
Nafahamu concern yako. Tatu hana sifa. Tatu mtoto wa Seleman Kikwete kaka wa Jakaya Kikwete ambaye amefariki mapema mwaka huu hana uwezo. Huyu alipata huo ukurugenzi kwa kubebwa nae akafight pia shoga apate ukurugenzi. Shoga yake yupo huko manispaa ya songea. Wote hawana sifa ya kuendelea kuwa wakurugenzi.
 
Mkurugenzi ana Diploma? Mi ninachofahamu wakurugenzi wanatakiwa kuwa na masters
Masters kwa sasa sio kitu kikubwa hivyo. Kuna watu wana degree moja tu lakini wana uwezo mkubwa kuzidi hao wa masters. I know some of the engineers who have only first degree but very powerful in doing their jobs. Kama kuna kigezo hicho let them review it. Madudu mengi yanayofanywa kwenye manispaa hizi tusingetegemea kuyaona kama masters ndio utendaji. Ila yule ded wa kibaha nafahamu hata mimi kuwa hana uwezo wa mwenzake wa songea. Hawa waliingia kwa jina la kikwete.
 
kwa taarifa yako ccm ina wenyewe na wenyewe mmojawapo ni kikwete.. na hata magufuli ni mojawapo ya majina matano ya mfukoni mwa kikwete...

asingemtaka hata fomu asingemwambia akachukue...

endeleeni kuzungusha mikono

usiishi kwa kukariri tumeanza kutumbua zenye surename za waziri wakuu wastaafu wa marais wastaafu its just a matter of time
 
kwa taarifa yako ccm ina wenyewe na wenyewe mmojawapo ni kikwete.. na hata magufuli ni mojawapo ya majina matano ya mfukoni mwa kikwete...

asingemtaka hata fomu asingemwambia akachukue...

endeleeni kuzungusha mikono
Huelewi hata chembe nani alimforce Magufuli kuchukua fomu. Kikwete amwambie Magufuli akachukue fomu!!! You are out of information. Hakuwa na alternative zaidi ya kuacha maji yachukue mkondo wake yapasue.
 
endelea kuzungusha mikono...

jk alisema singida juzi maadhimisho ya ccm mbele ya magufuli kwamba ccm ina wenyewe na wenyewe ndio sisi.. na madaraka hatutawapa wapinzani milele
  1. Huelewi hata chembe nani alimforce Magufuli kuchukua fomu. Kikwete amwambie Magufuli akachukue fomu!!! You are out of information. Hakuwa na alternative zaidi ya kuacha maji yachukue mkondo wake yapasue.
 
endelea kuzungusha mikono...

jk alisema singida juzi maadhimisho ya ccm mbele ya magufuli kwamba ccm ina wenyewe na wenyewe ndio sisi.. na madaraka hatutawapa wapinzani milele
Nasisitiza bado huna information. Hakuna Rais aliyewahi kufanikiwa kuweka mtu wake madarakani. Hakuna. Tangu baba wa taifa hadi huyo aliyepoteza nchi kwenye kuzalisha mafisadi na ufisadi
 
Yaani huu Uzi nimeupenda sana! Tatu selemani hafai hats kuwa mwenyekiti wa nyumba kumi! Ni kiraza mamba Moja! Muhudumu ndio mshauli wake! Akihisi MKUU wa idala ana elimu basis atamfanyia zengwe aondoke ili aendelee knyanyasa watumishi! Wenye mamraka tuondoreen huyo MTU! Tumemchoka hana werred! Hebu njooni halmashauri ya Kibaha muongee na watumishi na muone madudu ya tatu selemani! Kila miradi yote ameua,
Duuu muraa mang'ana??
 
Katika halmashauri ya Kibaha kuna hili jipu linaitwa Tatu Kikwete, huyu ni mkurugenzi wa halmashauri ya kibaha vijijini.

Jipu hili limekuwa likiwanyanyasa sana watumishi wa wilaya hiyo kisa ana undugu na yule jamaa (Jakaya Kikwete) na hata hicho cheo alikipata kwa kubebwa tu maana elimu yake ni diploma in education lakini anawanyanyasa watu wenye elimu zao.

Ana lugha chafu kutukana watumishi hadharani, kuwanyima haki za msingi, kuwagawa watumishi yaani anafanya ofisi kama mali yake ya nyumbani.

Kutokana na tabia zake halmashauri imedumaa na mapato yamedidimia.

Mwisho naomba serikali iwe inatoa vyeo nyeti kama hivi kwa kuzingatia elimu pia na sio ujanja ujanja haiwezekani subordinate wakawa na elimu na upeo mkubwa kuliko superbordinate ndio mwanzo wa kupata viongozi vilaza.

Naomba wenye mamlaka wafanye uchunguzi kisha watumbue tu haya majipu ya awamu ya nne yaliyovimba kindugundugu.


Fanya kazi wewe uongeze kipato chako na familia yako acha majungu, majungu hayajengi wala hayanunui Luku!
 
Mtuma post anaonekana dhahir kuwa chuki na majungu ndio dhamira yake mkubwa.kwa halmashauri ya kibaha vijijni INA kipato gani kikubwa mpaka mkurugenzi afikie hatua ya kujilipa Milioni tatu kila wiki? Mm nadhani labda angetuletea na vielelezo ili aweze kituaminisha khs hilo suala.lkn pili anasema mkurugenzi amekula million 90 za uchaguz,wakati anakula mtuma post alikua wapi? Mm nadhani nyuma post hana busara na yupo ktk kumchafua mtu tu kwa faida yake binafsi,kama aliyaona hayo madudu ziko mamlaka husika zina Zao shughuli ni hayo masuala angeripot muafaka ungepatikana na si jamii forum.Pia akumbuke kuwa Magufuli hatumbui majipu kwa style hiyo anachunguza na mwisho ndio anakutumbua.Mm kwa mtazani wangu mtuma post amekurupuka kwa chuki zake binafsi na anaonyesha ana majungu tu.
 
Wewe kama unatetea huyo JipunTatu, njoo halmashauri ya Kibaha uurize MTU yeyote mkurugenzi yupo! Utjibiwa nani huyo tatu sijui! Na anayekujibu ana hasira na amekata tamaa! Nagari yote yamepaki kama yapo yard vile! Kumbe no service tu! Ri tatu haritaki kutengeneza! Juzi kati uritokea msiba wa mtumishi! Ikabidi wakodi gari binafs kumsafirisha marehemu! Wakati magati ya harmashuri yapo! Watumishinwamekata tamaa! Tatu atorewe hatumtaki kabisa
Kwanza hata ww unaonekana jipu tu maana unaonekana hata unachokiandika hukijui maana naona Ulikimbia umande hata kuandika hujui.pia kama tamaa ktk halmashauri umekata ww na wajinga wenzako.ss tunaendelea kupiga kazi.fanyeni kazi wacheni majungu watoto watakufa njaa bure huko majumbani mwenu.
 
Wahusika wafanye uchunguzi na sio kila mtu anajua kuwasilisha jambo lakini imeeleweka anamaanisha mini nasio majibu mepesi tu ya kumtuhumu mtu eti analeta majungu hayo ni majibu mepesi ya kumtuhumu mtu kumwambia analeta majungu na fitna TATU achunguzwe tujue nani mfitinishaji.
 
Back
Top Bottom