Mkuu!; unapofukuzwa na simba utaparamia hata mti wenye miba bila kuijali inavyo kutoa damu! ile speed ya kuokoa maisha ni ya kufa au kupona!ukisha nusurika ndipo utashuka pole pole huku ukiiharibu ile Miba isije ikakuchoma tena! Laa unataka kufa endelea kudumaa; hata wahenga wamesema sikio LA...
Mkuu!; unapofukuzwa na simba utaparamia hata mti wenye miba bila kuijali inavyo kutoa damu! ile speed ya kuokoa maisha ni ya kufa au kupona!ukisha nusurika ndipo utashuka pole pole juku ukiiharibu ile Mina isoje ikakuchoma tena! Laa unataka kufa endelea kudumaa!
Cha ajabu mini?¿ Hata Musa alilelewa na firaun, jee kumpokea kama Mtume ni unafiki? Acha kijiba cha roho! Unafiki ni pale unaposhindwa kusherehekea wakati yule anaye kuchukuliaga mkeo kagongwa na gari kafa wee eti una huzunika na kulia her?..sherehekea kwa laga na kitimoto bro...
Hayo ni Mawazo Mazuri sana!; Ambayo ni Nccr na Nld tu, Wanaweza Kuyaafiki!; Cuf hawawezi kuyaafiki! Hivyo basi wapelekee hii Ajenda kwa walio Tayari, kwa ajili ya utekelezaji! Muda si rafiki tena kwa kusubiri!
Jesus-The Violent.
"The Kingdom of heaven has suffered violent Attacks. And Violent Men try to seize it" (Mt 11:12) see also Mt 7:23, Mt 7:15, Mt 25:41, Mt 23:13-33...
The verses quoted above were said in different situations and backgrounds, yet they were all hard- hitting and vehement. We...
Matusi na ngumi gani wewe? Hivi mwizi kumwmbia wewe ni mwizi unaona unamtupia ngumi na kumtukana!? Unachekesha sana...Usiiwekee mipaka Injili Mkuu, hata humu viumbe wa Mungu wamo inatupasa tuwafanye Wana wa Mungu...
Sio kosa lenu Bali ni ile kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.. Niwaulize, hasa mnaokazania msamaha!; Hivi mnaelewa nini Yesu aliposema Muwe wapole kama huwa lakini werevu kama nyoka!? Unaona msamaha alio-utoa Yohana Mbatizaji kwa kumkemea Herodi kwamba ni mzinzi aache uzinzi wake...Yohana...
chakufia nini;
Tumsifu Yesu Kristo!;
Nina Hakika Huwezi ukamzidi Yesu Upendo! Umeona Upendo Aliowapa wale waliokuwa wanatukanisha Nyumba ya Baba yake?? Ni bakora tu...Yesu hakuwa legelege Mkuu!; ndilo Tatizo kubwa tulilo nalo Wafuasi wake, tunapenda Ufufuko lakini Msalaba tunatafuta sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.