Van persie
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,099
- 719
Sasa unataka tukusadiaje ndugu yetu?
Kwenye siasa hakuna urafiki wala uadui wa kudumu,bali maslahi ya kudumu.
Na hivyo simbaya binadamu kujirudi anapoona anayotenda hayapendezi jamii.Chadema ni chuo cha kuwarudisha waliopotea kwenye line.
Kwenye siasa hakuna urafiki wala uadui wa kudumu,bali maslahi ya kudumu.
Na hivyo simbaya binadamu kujirudi anapoona anayotenda hayapendezi jamii.Chadema ni chuo cha kuwarudisha waliopotea kwenye line.