100% Ile intofahamu /Vuguvugu Lililotokea Mwaka Jana kati yeu na Hawa Watsi,Siyo Siri Kama Tungeingia Vitani, Ni wazi Tungeupata Ushidi, Ila Wapiganaj wetu Wengi Wangeangamia Kwa Sababu ya Hivi Vimwanana.
Kwa nini Niseme Hivyo; Hata Biblia Inatumbia Samson, yule Shujaa Mwenye nguvu za Kutisha, Wafilisti Baada ya Kumsoma Kwa muda Mrefu Waliamua Kumtumia Kimwana Delila...
Hata Hivyo Kama Unaombea Kwenda Mstari wa Mbele,Hautawaona hao Vimana kwa Maana wanaonekanaga Baada ya Kuisha Vita pale Wanapokuwa defeated. Utawakuta wameshavua magwanda wakiwa raia wa kawaida.
Usiombe Kukutana nao wakiwa civilian,Utumbo lazima Ukuchomoke na Unafahamu yale Mavisu na Mindu Waliyokuwa Wanaitumia Kwenye mauaji yao ya Kibali ya 1994.
Usiombe Kukutana na Mtsi kwenye territory yake. Waulize WaUtu Utapata Habari yako...
Bongo hii wanawake wazuri wachache sana ukichangia uanduje ndo usiseme.na ni wanajeshi,mbona hapa kwetu wanawake wanaoenda jeshini sura ngumu
kwetu sura nzuri wanakuwa mavideo queen,ila hiyo picha ukiangalia wote warembo but kama walainiBongo hii wanawake wazuri wachache sana ukichangia uanduje ndo usiseme.
Hawa wadada wazuri huku bongo mwanzo nilijua sifa ya kwenda jeshini lazma uwe na sura ngumu mbovu mbovu kwa wanaume na wanawake ili upate qualifications. Kumbe siyo
Kiukweli kila nionapo mabinti wa Rwanda na Ethiopia hunifanya noghairi maamuzi yangu ya kuvuta kimwana wa kibongo.
Mkuu Viol na falcon mombasa ebu tupieni izoefu wenu juu ya hawa viumbe ukiachilia mbali uzuri wa kutungua walionao je nao wana tamaa kama hawa jinsia ya kike ya dada zetu wa kibongo?
mbona karibia wote wanaonekana watutsi? wahutu huwa hawapelekwi mafunzo? kagame mbaguzi sana lakini ni bomu litakalokuja kumlipukia mwaka mmoja mbeleni. amejaza watusi tu kwenye jeshi, wahutu wamebaguliwa.Ikitokea vita naomba nipelekwe mstari wa mbele
![]()