Kibwana Dachi tuombe radhi Wakatoliki

Kibwana Dachi tuombe radhi Wakatoliki

mkuu soma historia ya kanisa katoliki utajua vzr. tatizo lenu ni kukariri mapokeo , hamfanyi jitihada ya kujua ukweli . hunahaja ya kutaka kuombwa radhi. huko duniani makanisa yanafungwa sijui kama unalijua hilo.
 
Mbona akina Kakobe wanatukanwa hakuna mtu anaye watetea au kusema Tcra wachukue hatua mwacheni aseme anayoyajua kama wanavyoumia akina Lusekelo na akina Kakobe waambie wavumilie tu
 
Kwa hilo awaombe radhi au a clarify...angesema mnaongoza kwa sanamu za watakatifu hapo sawa hili la moshi nadhani hua unatoka jikoni au ubani kama zifanyavyo dini zingine pia... wanawasingizia
 
Zaidi ya miaka 2000 katika injili....Kanisa limeshazushiwa mazito ya kila aina....lakini hadi leo ndio Kanisa linalotimiza unabii wa Yesu kuwa hata milango ya kuzimu haitashinda....Yesu hulipigania Kanisa lake mwenyewe.....wala hatuangaiki na uzushi unaopikwa kila sekunde......
 
Kwani moshi mweupe na mweusi ndio nini?
Umetajwa wapi kwenye bible?
Si mambo tu ya kibinadamu ?
Wewe unajua uke moshi nani anauchoma ? Una asili gani na ni kutoka mila gani huo moshi...walikua wakijadili valid topic...
 
Kama amesema hivyo ametukosea sana wakatoliki kutudhiki na kututukana atuombe radhi mambo ya Dini za watu waheshimiwe yeye ni Muislam kitendo cha kutukashifu hakikubaliki na tuwatake TCRA wamchukulie hatua mara moja au kituo kizima cha Chanel Ten hii cyo sahihi kutukana au kudhihaki Dini ya watu wanayoiamini ni makosa naamini TCRA watamchulia hatua au Chanel Ten ili liwe fundisho kwao
 
chakufia nini;

Tumsifu Yesu Kristo!;

Nina Hakika Huwezi ukamzidi Yesu Upendo! Umeona Upendo Aliowapa wale waliokuwa wanatukanisha Nyumba ya Baba yake?? Ni bakora tu...Yesu hakuwa legelege Mkuu!; ndilo Tatizo kubwa tulilo nalo Wafuasi wake, tunapenda Ufufuko lakini Msalaba tunatafuta sababu...
 
Last edited by a moderator:
Kama amesema hivyo ametukosea sana wakatoliki kutudhiki na kututukana atuombe radhi mambo ya Dini za watu waheshimiwe yeye ni Muislam kitendo cha kutukashifu hakikubaliki na tuwatake TCRA wamchukulie hatua mara moja au kituo kizima cha Chanel Ten hii cyo sahihi kutukana au kudhihaki Dini ya watu wanayoiamini ni makosa naamini TCRA watamchulia hatua au Chanel Ten ili liwe fundisho kwao

Nawapenda na kuwaheshimu sana watu wenye akili kubwa na uwezo mkubwa wa kufikiri kama wako wewe huu.
 
Hayo yamo na yataendelea, kuna watu wanaitwa magaid,wafuga majini,mashoga but stand on what u believe to be true vikatuni vya mtume wa ALLAH vmechorwa watu tumelaani lakin ndo kwanza wanazidisha. Juz mh mmoja kamfananisha mgombea wake na nabii wa ALLAH lakini hajaomba msamaha hadi leo.
 
Mzee wa mikwara, Mungu aliye hai huwa hatetewi bali anajitetea mwenyewe,kama huyo jamaa amekashifu kanisa basi muache malipo ni hapa hapa asipotubu yatamkuta.
 
Wanajaribu kutugombanisha wala ham tupate tumeshamsamehe Dachi mana hajui atendalo na wanaoshabikia wote si wakati likizomkatoliki ana jua msingi ya dini yake from East to west south to north duniani kote kwetu ssisi Imani na taratibu za kanisani letu ndo msingi wa umoja wetu duniani kote.
 
Kisha Na Yeye Mwenyewe KIBWANA DACHI Kupitia Radio Yake Hiyo Hiyo Anayoifanyia Kazi Ya Magic FM Na Kwa Ukubwa Na Umuhimu Ule Ule ATUOMBE RADHI Sisi WAKATOLIKI Wote Nchini Tanzania Kabla Na Sisi Hatujachafua Hali Ya Hewa Kuanzia Kwa Dini Yake ( Ambayo Tunaijua ), Alichokifanya Mzee Wake Wakati Akiwa Afisa Mwandamizi Wa Jeshi La Polisi, Maisha Yake Binafsi Na Bila Kusahau Na AFYA YAKE Kiujumla.
Kwa sababu ufisadi mkubwa na uvunjaji wa sheria Tanzania unahusiana kwa kiasi kikubwa na watawala hivyo mtu akishaonekana kuhusiana kwa njia moja au nyingine na hiyo class moja kwa moja naona ni mwendelezo yanayofanyika (hawezi kuleta mabadiliko) na natilia mashaka uelewa wake!

 
Kama mnatafuta pakuanzia msimsingizie Kibwana Dachi tafuteni njia nyingine. Uliona tukihangaika na Gwajima? Cha kwanza alisamehewa na sisi tunaamini kwenye toba ya msamaha
 
yeye kama mtangazaji anayetumika kufikisha ujumbe kwa jamii inayomzungukaa anatakiwa kuwa makini na kile anachokisema. kama ni kweli na itathibitika amesema hivyo basi hakuna jinsi isipokua kuomba radhi kwa kile alichokisema. just imagine watoto wadogo tunaowalea katika imani zetu watajifunza nini katika matamshi hayo kama si kuanza kudharau dini za wengine na kuleta shida ya udini katika vizazi vijavyo?
 
mkuu soma historia ya kanisa katoliki utajua vzr. tatizo lenu ni kukariri mapokeo , hamfanyi jitihada ya kujua ukweli . hunahaja ya kutaka kuombwa radhi. huko duniani makanisa yanafungwa sijui kama unalijua hilo.
Biblia ni sehemu ya mapokeo yaliyoandikwa. Biblia haikushuka kama vitabu vingine.
 
Tumsifu Yesu Kristu!
Wakatoliki tunamsamehe huo Dachi kama Baba Askofu Pengo alivyomsamehe Gwajima!
Hila akiendle kuropoka atapata matatizo makubwa na atapotea ...
Tumsifu Yesu Kristu!
 
Back
Top Bottom