Naambiwa blaza Mtei ana dictate mambo...Dr Slaa anasema anarudisha kadi mkisimamisha Lowassa
Lowasa yupi jamani ndani ya CHADEMA ? Ndugu yangu (binafsi) sijakuelewa. Au labda niulize tu, Lowasa amejiunga na CHADEMA? Kama bado, sasa iweje watu mlete hisia ( assumptions) zenu humu? Kwahiyo tunajadili hisia na sio reality.