M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,201
- 23,037
Utakuwa muoga tu huna lolote! Huyu jamaa hajakosea lolote, la msingi huyo Kibwana aombe radhi tu! Huyo mtu ana dini yake, nini kimemtuma kuja kusema yale asiyoyajua! Huo moshi mweupe na mweusi ndio kaona uchawi?! Yaliyoko ndani ya dini yake hayamtoshi?
Kazi yetu Wakatoliki ni kuyasoma na kuyaelewa maandiko matakatifu na kisha kueneza injili ili watu wamjue Mungu vizuri. Hukumu na visasi ni kazi ya Mungu mwenyewe.