Hata wafanyaje Moshi ni ya CHADEMA, Kumzuia Ndesa kusaidia watu wake kwa kuona kama wanawakomoa watu wa Moshi hapo ndio wamechemsha, ndio wanajiharibia kabisaaa. Mi sijui kwa nini huyo chami ni KILAZA kiasi hicho na hana upeo wa kufikiria. CHADEMA FOREVER piga uwa galagaza. Hao watu wa CCM...
Mi nashimdwa kuelewa, huenda hawa wabunge wa CCM wote fani yao ni kuimba taarabu na pale sio mahali pao, na wapo pale kwa sababu wao ni wachakachuaji wa kura zetu siku zote vinginevyo wasingekuwapo mahali pale. Wanaudhi sana na siwapendi. Chadema kaza buti waonyesheni kuwa nyie ni vichwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.