Kwenye wimbo wa Bongo Hip Hop wa FidQ kuna mstari unasema hivi:-
"Sio tu BONGO mpaka NG'AMBO hakuna UHURU wa HABARI... kuna uhuru wa mwenye CHOMBO, MITAMBO na mwenye MALI... Kujifanya hawasikii, haiwasaidii, wala HAIWAJENGI... Unachosema ni kamwe IPP haitompinga Mengi."
Mstari huu unanifunza...
UFALME NA U-MUNGU MTU WA CLOUDS UNASIMIKWA NA WASANII WENYEWE.
Kwenye wimbo wa Bongo Hip Hop wa FidQ kuna mstari unasema hivi:-
"Sio tu BONGO mpaka NG'AMBO hakuna UHURU wa HABARI... kuna uhuru wa mwenye CHOMBO, MITAMBO na mwenye MALI... Kujifanya hawasikii, haiwasaidii, wala HAIWAJENGI...
Unaposema ni aghalabu una maanisha ni mara nyingi au mara kwa mara. Aghalabu haibebi UCHACHE wa jambo inawakilisha WINGI.
Hivyo kichwa cha habari kipo tofauti na maelezo uliyoyatoa.
Hata mimi ni mmoja kati ya wale ambao tunaojihuliza inakuaje Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwa na kadi ya chama cha Siasa lkn baada ya kuanza kutoa ufafanuzi wa kisheria na kuanza kutaja makundi matatu ambayo hayatakiwi kuwa ni mwanachama wa chama cha siasa, nikajua sasa hapa fumbo...
Ila pale wapinzani tumechemka kwa kuanza kumpigia kelele, kaulizwa swali lenye mtiririko mrefu na atajibu husika lilikuwa linakuja kwenye mtitiro ulioendana na swali.
Ila kwanini wakati anaanza kufafanua makundi ambayo hayapaswi kuwa sehemu ya serikali na wanachama wa siasa zikaanza kelele? Kwa nini wasimpe uhuru wa kujibu swali lake? Ili na sisi ambao hilo jambo lilikuwa linatutatiza tungepata jibu kwa ufafanuzi wa kisheria.
Sheria ya kujenga kandokando mwa barabara inasemaje? Mbona wengine tunavunjiwa nyumba zetu, akivunja itakuwa sawa tu maana huwa wanasema sheria "MSUMENO"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.