Jamani baada ya makato tunapata million 18 tu kwa mwezi hiviyo siyo nyingi kihivyo hasa ukizingatia majukumu
Ina tegemeana na uchangiaji wako bungeni
ukiwa kimya kama mr. WHite hair ujue utaambulia
mshahara namba ya kiatu...ila ukiwa vuvuzela kama
lissu na mnyika mshiko wako unakuwa unakaribia wa spika.
Ina tegemeana na uchangiaji wako bungeni
ukiwa kimya kama mr. WHite hair ujue utaambulia
mshahara namba ya kiatu...ila ukiwa vuvuzela kama
lissu na mnyika mshiko wako unakuwa unakaribia wa spika.
mshenzi, kama hujui si utulie. Halafu ww jamaa unafanya kaz kweli maan kila nikifungua jf nakutana na coments zako tu tena za hovyohovyo tu! Nan anakulisha wewe?milioni 30, tena hazikatwi kodi
Niliwasikia Wakisema 2.3mill.
huyu jamaa kila kitu yuko negative tu , hv ww ni jini au ni lofa!milioni 30, tena hazikatwi kodi
mshenzi, kama hujui si utulie. Halafu ww jamaa unafanya kaz kweli maan kila nikifungua jf nakutana na coments zako tu tena za hovyohovyo tu! Nan anakulisha wewe?
Jamani naomba kufahamishwa juu ya mshahara wa mbunge baada ya makato ni sh.ngapi?
milioni 30, tena hazikatwi kodi
sijui kama zinakatwa kodi