Bongoflava
Member
- Dec 22, 2017
- 75
- 36
Anayelipa matangazo ni vodacom na kampuni zingine, msanii halipi kutangaza chochote. Na vipindi vingi vinawahitaji kwa ajili ya interview hasa wasanii wakubwakutangaza kwenye redio ni laki tano kwa sekunde 60. Nakuambia tu ili ujue. vipindi viko vingi sana kuhusu wasanii ila hamna ulazima wa wao kufika studio unless kuna uhitaji ni bur kutoka media ni bure.. ilawao wanavolaunch siju video, mziki mpya kwanini wasilipie kwa mda wanaotumia? Nje wanalipa sanaaaaaaa kwa media wakienda kuongea na kwa taarifa yako hamna msani anayeitwa na redio...wao ndo wanaomba kwenda redioni
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app