Kibo255
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 4,408
- 3,942
Mleta mada najua unajua cheo cha Dr tulia kilikuwa na muhimu gani katika taifa na katiba inasemaje kuwa mtumishi Wa umma autakiwi kujiushisha na siasa sasa huyu Dr aliyejiuzuru unaibu mwanasheria mkuu siku moja na kuchaguliwa kiti maalum na kugombea unaibu spika alijiusisha na ccm lini na kama alikuwa mwanachama kwa nini alikuwa anavunja katiba na yeye ni msomi Wa sheria aliyebobea