Ndodi ni msanii kweli.Gharama yake ni kubwa mno hana ubinadamu kabisa. Kupona ni majaliwa. Acha ale za wahindi mswahili hawezi. Kweli anatumia jina la Mungu kujinufaisha.Kuna kipindi alikuwa anajitapa kuwa na magari 8 ya gharam aya m.200 kila moja. Limbukeni tu!
Nani kakwambia nji hii ina polisi. Serikali imewatelekeza wamebaki kujitafutia wenyewe kama kuku wa kienyeji. Wanakula na waharifu. Kazi kupiga watu mabomu hata wale wanaowatetea wapate maslahi mazuri. Nji hii sasa imeharibika kwa kukosa polisi, watu wanajifanyia wanavyotaka tu! si tunaona...
Za kibongo zinapenda sana vya bure. Zitapendezaje kwa mitumba ya buku ya machinga ya kuning'iniza kwenye henga zenye kutu? ZA KIBONGO WE PIGA KIMBIA ACHIA WENGINE.
Katika hii "nji" yetu ni vigumu sana kuwatofautisha askari kanzu na polisi. Ni wale wale. Serikali imewatelekeza wanajitafutia wenyewe kama kuku wa kienyeji. Usombe wkushukie watakung'ang'ania hata kwa dogo tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.