Msongoru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2008
- 306
- 24
Hi Jamani, mambo vipi? Shost wangu kaambiwa anao uvimbe kwenye kizazi, ametumia dawa, hakuna majibu mazuri. Ameambiwa yalazimu operesheni.
Ila kuna tetesi kwamba akifanyiwa operesheni tu hatapata mtoto tena! kuna ukweli katika hilo? Je, wapi pazuri au daktari gani mzuri kwa operesheni za namana hiyo? Naomba kutoa hoja!!
Ila kuna tetesi kwamba akifanyiwa operesheni tu hatapata mtoto tena! kuna ukweli katika hilo? Je, wapi pazuri au daktari gani mzuri kwa operesheni za namana hiyo? Naomba kutoa hoja!!