Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
Mjini chai "MKUNE" umeujulia wapi? Wengine wanaita "CHISENYA".
ndio nini hapo kwenye bluu, kwa lugha rahisi.
Mjini chai "MKUNE" umeujulia wapi? Wengine wanaita "CHISENYA".
Lulindi hatuijui hii, ingefaa kuwafanyia demo pasaka ijayo.
ndio nini hapo kwenye bluu, kwa lugha rahisi.
...No! wanaongezea kilevi wewe!!...:A S 20:Kwa RAHA zao, wengine wanaweza kuwa wanatemea mate humo humo
Hapo ndo safi!Kwa sasa wana enjoy utamu wa kinywaji, mwishoe watajutia machungu ya maradhi watakayoambukizana. Hii kiafya hajakaa vizuri.
Hii inatumika sana Uganda!! Kila inapopungua, wanaongeza maji ya moto mpaka mwishowe wanajikuta wanakunywa maji. Ikifikia stage hiyo, kila mmoja anaondoka kivyake...