Gospel inalipa wewe. Stara kashindwa kujua kama yuko kwenye bongo fleva au dansi/zouk. Kaona pia huko hakulipi sana. Kadhalika ni kwa muda sasa kapotea hawani. Kaona Gospel ni all weather. We subiri tu na utamsikia kwa kishindo kama cha Rose Mhando. Subirini tu. Ila all the Best, Stara
Aliyekua muimbaji wa nyimbo za bongo fleva Stara Thomas sasa amempa Bwana Yesu maisha yake!
Hapo awali alisikika kwa nyimbo maarufu kama Sikia, Sitorudi nyuma, my body na Chldren rights ambapo hivi karibuni amevuma na wimbo wa nipigie alioshirikishwa na AT.
Nilipata wito kutoka kwa Yesu kwa kuwa aliwaita watu wote wasumbukao na kulemewa na mizigo waende kwake atawapumzisha alisikika akisema Stara
Awali alikua akiabudu dhehebu la Jamatrine kwa sasa anaabudu kanisa la Shalom lililoko Mbezi Salasala! Karibu kwa Bwana Yesu Stara!
Source: Stara Thomas ameokoka! « Strictly Gospel
kwahiyo una maana gani???
kaacha bangi au anazuga
Aliyekua muimbaji wa nyimbo za bongo fleva Stara Thomas sasa amempa Bwana Yesu maisha yake!
Hapo awali alisikika kwa nyimbo maarufu kama Sikia, Sitorudi nyuma, my body na Chldren rights ambapo hivi karibuni amevuma na wimbo wa nipigie alioshirikishwa na AT.
Nilipata wito kutoka kwa Yesu kwa kuwa aliwaita watu wote wasumbukao na kulemewa na mizigo waende kwake atawapumzisha alisikika akisema Stara
Awali alikua akiabudu dhehebu la Jamatrine kwa sasa anaabudu kanisa la Shalom lililoko Mbezi Salasala! Karibu kwa Bwana Yesu Stara!
Source: Stara Thomas ameokoka! « Strictly Gospel
Amefanya jambo la maana kufanya uamuzi huo, maana na umbo lake inavyoonekana katika sekta binafsi kama ya bongo flava lisingempa ushindani sana.... Hongera sana dada yangu
Nampenda sana huyu mama kwa kweli
mjukuu acha kejeli,Haya makanisa ya kisasa yaani tabu kweli kweli, siku hizi yamechuja ni kama kichaka cha kujifichia wezi, miaka ya themanini na tisini yalikuwa moto kweli kweli, yaani mtu akiwa huko watu walimuona kama malaika vile.
Sasa huyu nae kahama kanisa moja kwenda lingine eti ndio kuokoka!, matusi hayo.