mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Ningefurahi sana kama angekuwa dada yangu,kwasababu yeye mwenyewe kafurahi alivyofanyiwa,inaelekea kaguswa anapopataka,kama angekasirika nami pia ingekuwa vivyo hivyo!!
Mmh hata kama angekuwa ni dada yako ungesema hivyo? Eti mtoto katulia...........mtu kufinyangwa makalio hadharani ni sawa?
Ningemwambia dada unabahati kweli yaani umeshikwa hiyo kitu na supastaa,wenzako zamani walikuwa wanaenda kanisani pale oysterbay ili mradi kushikana mkono na baba wa taifa tuu,sasa wewe umeshikwa mpaka hiyo kitu,dada unabahati kuliko ya mtende kuotea jangwani!!Wakuu sina hakika kama huku ni kujidai au kumdhalilisha mwanamke. Kama angekuwa ni dada yako ungefanyaje?
Mambo ya mapenzi hayana dada wala kaka,dadako akishapevuka huna sababu ya kumfuatafuata kwa kuwa ana uhuru wake!!kama mwanaume unavyomfanyia msichana yeyote!!!
Utani ukiwa pembeni,yaonekana AMBER ROSE ana wowowo LAIIINIII!!Ingawa nasikia ameachana na kanye west na anatembea na kijana mdogo wa miaka 17 au 18 hivi.Bidada ametulia
View attachment 23683
View attachment 23684
View attachment 23685
Sijui nina matatizo ya kuonja, the chick is all tasteless.
Mradi dada kamruhusu huyo jamaa amshike hakuna tatizo