Recent content by hamkit

  1. H

    Wadada wa kazi kwanini siku hizi hawakai?

    Ukitaka akae mtafutie kakijana awe anagusagusa. Au mpe uhuru wa kutoka kila j/mosi na j/pili Sent using Jamii Forums mobile app
  2. H

    Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali itaajiri walimu 4,000 wa Sayansi na Hisabati hivi karibuni

    Hata hao 4000 hawatoshi, mahitaji ni makubwa sana
  3. H

    Madaktari 2800 waliomaliza vyuo vikuu wakosa ajira kutokana na usitishwaji wa ajira

    Kweli hawawezi kufika. Jamaa kaongeza chumvi
  4. H

    Miongoni mwa hawa, CCM itajipatia Katibu Mkuu mpya

    Katibu ni Anthony dialo. Amekua mwenyekiti wa chama mkoa wa mwanza kwa mafanikio. Ameweza kurudisha majimbo ya nyamagana ilemela yaliyokua chini ya chadema. Pia anaendana kiutendaji na mwenyekiti wa chama taifa. Kinana atakua makamu wa mwenyekiti. Hui no mtazamo wangu.
  5. H

    Mikoa ya Arusha, Mbeya, Mwanza, Mara, Iringa na Kigoma Ndio yenye wanaume majasiri

    Mmeishiwa kweli. Kwa sababu kunaupinzani. Acheni fikra za maji taka.
  6. H

    Punyeto ya inzi ni salama na haina madhara kabisa

    hahahaaaaaaaa!!!!! we ni mtaalamu
Back
Top Bottom