Katibu ni Anthony dialo. Amekua mwenyekiti wa chama mkoa wa mwanza kwa mafanikio. Ameweza kurudisha majimbo ya nyamagana ilemela yaliyokua chini ya chadema. Pia anaendana kiutendaji na mwenyekiti wa chama taifa.
Kinana atakua makamu wa mwenyekiti. Hui no mtazamo wangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.