Mwalimu Ntuntu
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 305
- 279
Ndo nn hivyo!?!?!?!
Umeanza Leo kutumia netMbona picha za beach party hamkutupia tukaona mmeweka tu za Iringa??
Hajaziona huuyo mtumieni!!!
Mbona picha za beach party hamkutupia tukaona mmeweka tu za Iringa??
Mbona picha za beach party hamkutupia tukaona mmeweka tu za Iringa??
Kojoa ulaleHivi jamani kweli wewe utaingia kuangalia show wakati hakuna kipya ni almost kila show the same na hapa siongelei Diomond ni mpaka kina Kiba na wengine kwa ujumla wasanii wote hawana kipya na hii naita boom ila watu watachoka. Watu wanaingia ushamba tu hivi mmeona hata audiance yao mpaka Fiesta yaani watu wenye kujuwa miziki wanaenda kwa kualikwa tu kibiashara. Mimi binafsi siwezi kuingia kuangalia na ni wote tu mpaka siku nione wanapiga real live music. Niliwahi kumuona Shaggy wakati kaja D. Jubilee thats what we call live music maana kama unsikiliza CD.
Beach Part ya Dar c mlifanya fitna, Mmeumbuka kwa IringaMbona picha za beach party hamkutupia tukaona mmeweka tu za Iringa??
Mkuu mpinzani wako akikushinda msifieHivi jamani kweli wewe utaingia kuangalia show wakati hakuna kipya ni almost kila show the same na hapa siongelei Diomond ni mpaka kina Kiba na wengine kwa ujumla wasanii wote hawana kipya na hii naita boom ila watu watachoka. Watu wanaingia ushamba tu hivi mmeona hata audiance yao mpaka Fiesta yaani watu wenye kujuwa miziki wanaenda kwa kualikwa tu kibiashara. Mimi binafsi siwezi kuingia kuangalia na ni wote tu mpaka siku nione wanapiga real live music. Niliwahi kumuona Shaggy wakati kaja D. Jubilee thats what we call live music maana kama unsikiliza CD.
Niaje freelancer wakala mi ni yule ninae jiita mke mwenza watsapUNAYE MCHUKIA KAJA@wcb.com.wasafii
Hahahahahaha hawakosqgi la kuongea yaan wana kazi haoWangap wanafanyaga show za pesa hiyo na ata ukumbi wa harusi wa kutosha watu 100 hawajai team kutokosa sababu nanyi
Angekuja Huyo Shaggy Hata Akakohoa Tu Ungemsifu - Kawaida Yenu Cha Marekani Ni Kizuri Siku Zote Na Cha Kwenu Ni Kibovu Kila SikuHivi jamani kweli wewe utaingia kuangalia show wakati hakuna kipya ni almost kila show the same na hapa siongelei Diomond ni mpaka kina Kiba na wengine kwa ujumla wasanii wote hawana kipya na hii naita boom ila watu watachoka. Watu wanaingia ushamba tu hivi mmeona hata audiance yao mpaka Fiesta yaani watu wenye kujuwa miziki wanaenda kwa kualikwa tu kibiashara. Mimi binafsi siwezi kuingia kuangalia na ni wote tu mpaka siku nione wanapiga real live music. Niliwahi kumuona Shaggy wakati kaja D. Jubilee thats what we call live music maana kama unsikiliza CD.