- Thread starter
- #41
Huo Ndio ukweli mkuuUnaweza kubezwa kwa vile hakuna takwimu ila ni ukweli mtupu
Huo Ndio ukweli mkuuUnaweza kubezwa kwa vile hakuna takwimu ila ni ukweli mtupu
Ndio hivyo Ni kiboko kweliDah mara ni kiboko
Weka ukweli wakoSio kweli
How?Ndio jaribu na wewe
YesJF The Home of Great Thinkers!!!!!!!
Wawapi hao?Mkuu wanazid ndugu zetu wabishi kweli?
Nimeuliza iringa nao wamo?...wameacha kujinyonga? Sijatoka nje ya mada n suala la kujib tu wameacha au wanaendelea...pole itakuwa umetokea ukoOngelea maada iliyo mezani usituhamishe kwenye mjadala
SASA CCM INAHUSIKAJE NA HIYO POST?Aaaaaahaaaah!!!! ndo maana...!!!!
Kanda ya ziwa ndiko mizizi ya CCM ilipo.....
Uongozi CCM
- Mwenyekiti wa chama.
- Katibu mkuu bara.
- Katibu muenezi.
-
Warembo...2Singida na Manyara
Mara siyo wajasiri ni wana roho mbaya.Dah mara ni kiboko
Hii hoja kuna siku itashika kasi kama ile ya chama kingine kwamba mwenyekiti katibu mweka hazina-kaskaziniAaaaaahaaaah!!!! ndo maana...!!!!
Kanda ya ziwa ndiko mizizi ya CCM ilipo.....
Uongozi CCM
- Mwenyekiti wa chama.
- Katibu mkuu bara.
- Katibu muenezi.
-
Utawekaje ukweli kwenye nadharia. Acheni uboya nyie wanaume wa darWeka ukweli wako
Utafiti wako umeufanya kwa mda gani,,na kwa vigezo vipi ulivyovitumia.....Wakuu Salaam kwenu.
Mikoa tajwa Hapo juu Ndio hutokea wanaume majasiri kwa asilimia kubwa lakini mikoa iliyobaki ujasiri Upo lakini kwa kiwango kidogo . sijui kwa nini?
kama ni hivyo, mbona mchagga hujamuweka? nasikia wale ndio wanajua kuitafuta pesa ilipoKazi za utafutaji wa maisha au pesa