Habari za muda huu wana JF,
Naombeni msaada kidogo. Nahitaji kubadili jina la account yangu ila nimejaribu kupitia settings zote nimekosa.
Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi sijaelewa, kila member wa JF ninae muona humu ndani anatumia jina ambalo si halisi, sasa sijui ni ni terms and conditions za JF kuchit? Nawasilisha hoja...
KILIO cha ukosefu wa fedha za kuonesha matangazo ya moja kwa moja ya Bunge la Tanzania kupitia Shirika la Utangazaji nchini (TBC) ambacho kimekuwa kikitolewa na serikali, sasa kimepata ufumbuzi, anaandika Josephat Isango.
"Mfuko wa Vyombo vya Habari nchini (TMF) umeeleza kwamba upo tayari kutoa...
Hao hao wazungu ndio wanao tuibia wanyama wetu, kutumia ushawishi wa fedha...Africa italindwa na waafrika wenyewe, halikadharika Tanzania pia tutailinda wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.